Recent content by solanki

  1. S

    BoT wajitafakari kabla ya kuwatuhumu Bloomberg

    Ngoja mzee ajenge ukuta wa zizi la lanch yke chato badala ya fensi
  2. S

    Kwani walioondolewa kazini kwa kutokuwa na vyeti kazi zao hazikuwa na tija?

    Uko sawa ndugu yangu nimegundua kumbe ndomaana hata chato hakuna kizuri miaka 20 yote
  3. S

    Kwani walioondolewa kazini kwa kutokuwa na vyeti kazi zao hazikuwa na tija?

    Kwahilo mhe:presd atuludishe kazini kwani ili haki itendeke kwa wote kwanini amtete bashite pekee yke kuna watendaji kazi wazuri zaidi ya bashite lakini kawatoa kazini kumbuka laana yte itawapeleka kubaya familia za hawa waloondolewa kazini mimi naona ziende kuishi magogoni
  4. S

    Kwani walioondolewa kazini kwa kutokuwa na vyeti kazi zao hazikuwa na tija?

    Kwema wana jf nauliza walio jenga reli na kusambaza hudu ma ya umeme enzi hizo walikua na vyeti? 1976/2016 naisitoshe hata umeme wanao utumia viongozi haohao umesambazwa na wasio kua na hivyo vyeti isipo kua uzoefu walio nao lakini mbona hawajawahi kusema yakua umeme huu umeletwa na wasio kua...
Back
Top Bottom