Recent content by Sokomoko

  1. Sokomoko

    Manji achukuliwa na gari la wagonjwa (ambulance) kutoka kituo cha polisi kati

    Akikusikia atakutaja kwa beef tu, maana mwenyewe huwa ana post anaimba mapambio.
  2. Sokomoko

    Manji achukuliwa na gari la wagonjwa (ambulance) kutoka kituo cha polisi kati

    Manji inabidi awe mpole tu ile kununua column na kuandika makala kuhusu coco beach imem cost sana!
  3. Sokomoko

    Kitendo cha kumchanganya Pengo na madawa ni cha hatari

    Mkuu, Mimi sioni tatizo lolote au tatizo ni kuwa Pengo ni Mkatoliki?
  4. Sokomoko

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Tupeni list kamili nimeona ngonjera tu mwenye list kamili please
  5. Sokomoko

    Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

    Ni Mtanzania ina naishi ughaibunina nimeuliza tu sauti inayoita "Aggie njoo" ni ya nani nimehisi kama yako mkuu. Kama ni yako unafaidi sana aisee hahahahaha
  6. Sokomoko

    Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

    Wanasema thamani ya kondoo ni mkia na uzuri wa nyumba choo mkuu.
  7. Sokomoko

    Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

    Sawa mkuu nimekuelewa ila sija amanisha sauti ni ya Mheshimiwa nimeuliza tu kama sauti ya huyo mtu kuna anaeifahamu.
  8. Sokomoko

    Kijivideo: Masogange akiwa nyumbani kwake Makongo

    Wakubwa wanafaidi sana aisee.
  9. Sokomoko

    Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

    Wadau kwa heshima na taadhima naombeni kujua sauti ya mtu anaeita "Aggie njoo" na jina la huyu mrembo aisee wakubwa wanafaidi sana dah!
  10. Sokomoko

    Full text: Hotuba ya hotuba ya Kambi ya Upinzani (Wizara ya Afrika Mashariki)

    Baba yake Raya ndie mwenyekiti wa cdm zanzibar yaani huwezi kuwa viti maalumu cdm kama hutoki kwenye wigo wa viongozi kwa njia moja au nyingine.
  11. Sokomoko

    Mwakyembe na polisi wadaka watano wakitaka kuvusha malori 26 kinyemela bandarini

    Chadema bhana sasa mlitaka slaa ndio alipue bomu la ufisadi bandariini? Kwani na yeye amekuwa polisi au mpelelezi? Akili zenu ni fupi kama mkia wa mbuzi! Tatizo ni mfumo kristo wamejazana bandarini kazi kuiba na kudidimiza uchhumi wa nchi angalia waliokamatwa leo wote ni kina CDU
  12. Sokomoko

    Mjue Sheikh Ponda Issa Ponda na Kundecha

    “Na Tumeiumbia Jahanamu majini wengi na watu. Wana nyoyo, lakini hawafahamu kwazo. Na wana macho, lakini hawaoni kwayo. Na wana masikio, lakini hawasikii kwayo. Hao ni kama nyama howa, bali wao ni wapotofu zaidi. Hao ndio walio ghafilika” (7: 179).
  13. Sokomoko

    Mjue Sheikh Ponda Issa Ponda na Kundecha

    Kuna hoja za kujibu na kuna hoja za kuzipotezea mkuu, ikiwa madai yangu yameambatana na facts kutoka sources tofauti ambazo mwenye macho na ubongo ni lazima akisoma ataridhika na kile ninachokiona mimi. Ifike mahali waislamu waseme basi! wasiburutwe kwa maslahi ya masheikh ambao hawana uzalendo...
  14. Sokomoko

    Mjue Sheikh Ponda Issa Ponda na Kundecha

    Waandishi wetu nawao ni wana maslahi kama Ponda Taifa hili limegeuka kuwa la watu wenye kujali maslahi yao binafsi. Lakini kila kitu kipo wazi inabidi wanajamii tutumie muda wetu kuielimisha jamii ili habari zao ikifika muda ziwe haziuziki!
Back
Top Bottom