Recent content by SOKO LA MAGARI

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hii sentensi nimeisikia sehemu imenigusa sana

    Wasio wasomi wanategemea wasomi kujua mengi sana kama sio kila kitu, matokea yake yanakuwa tofauti na mategeo then wanawaita wasomi ni wajinga, Kwenda shule au kusoma sio kuwa malaika wa kujua kila kitu sio maarifa yote yanapatikana shuleni. Mambo na maarifa mengi hupatikana huko...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ushuru wa Maegesho na penati za Traffic imekuwa kero kubwa Dar es Salaam

    USHURU MAEGESHO + TRAFFIC PENALTY JIJINI DAR VIMEKUWA KERO KUBWA SANA Tunaomba wizara husika ziangalie upya hizi taratibu 1. Gari moja inaweza kuta ina madeni ya miaka hadi 3. 2. Kiwango ni kukubwa mno, madeni yasiolipika. 3. Inaturudisha kwenye tatizo la zamani la Motor Vehicle...
  3. S

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    MAOMBI MAPYA YA KUUNGANISHA UMEME MWANZA MJINI 1. ENEO ni Nyerere road karibu na mataa kwa ajili ya ujenzi 2.Mkoa wa mwanza mjini, wilaya ILEMELA, Mjini kati karibu na msua phamacy 3. Tunahitaji umeme kwa ajili ya ujenzi.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta Toyota Corolla Old 1996-2001 ya kununua

    Iwe na Engine 4A, 5A na Automatic Gearbox (manual tutaongea) Iwe imetunzwa vizuri hasa body liwe limenyooka Namba yeyote lakini bora zaidi kuanzia B, C, D Iwe popote tanzania iweze kufika Dar hata kwa gharama yetu Bei ni makubaliano kulingana na hali ya gari
  5. S

    JamiiForums Tanzania Gari ya kubeba container 20ft inahitajika Musoma

    Ni 50km around, kwenda na kurudi 100km (barabara lami 30km na rough road iliyosafi 20km) Unayo gari ? nipe namba ya simu nikupigie
  6. S

    JamiiForums Tanzania Gari ya kubeba container 20ft inahitajika Musoma

    GARI YA KUBEBA CONTAINER 20FT INAHITAJIKA MUSOMA Pana container linahitajika kusafirishwa ndani ya 50 km toka musoma mjini Kwa yeyote wa kupata gari hilo tuwasiliane hapa
  7. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kanga 20 wa kufuga nipo Mwanza

    Sh ngapi kwa bei ya jumla ?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Power Tiller GT Shakti 880 hata mwezi bado ila tayari imevunjika diff

    POWER TILLER GT SHAKTI 880 hp 13 Diesel Usithubutu kununua haka ka Power Tiller nimekanunua majuzi tu sh 2,200,000 HP 13 Diesel tayari kamevunja diff, na spare hawana Naombeni msaada wa kupata hiyo Tube Housing ya Differential
  9. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kanga 20 wa kufuga nipo Mwanza

    NATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5 weka bei hapa na mahala wa kuwapata
  10. S

    JamiiForums Tanzania Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Natafuta bonet, headlamp kulia, Indicator kulia mbele, ABS , Mtungi wa hydralic fluid, mtungi wa maji ya Wiper vyote vya TOYOTA , COROLLA 110 HARAKA NIPO DAR KARIAKOO
  11. S

    JamiiForums Tanzania Wachaga ni moja ya kabila lenye dialects nyingi Tanzania

    Nakubaliana sana na Mmassy JM kuwa wachagga ni umoja wa makabila mengi sababu ya msingi lugha HAWAELEWANI na baadhi ya mila HUTOFAUTIANA Kama ilivyo mkoa wa MARA Lugha wanaelewana tena vizuri lakini kabila tofauti mfano Mwikizu na Mzanaki, Muungurimi, Mwikoma wote...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Hatimaye mdogo wenu nakaribia kumiliki gari ya ndoto yangu

    UONGO UONGO MKUBWA HIYO GARI HADI SASA HIVI HAIJALIPIWA IPO SOKONI KWA YEYOTE Anyone can google BH328622 BEFORWARD
  13. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta lead oxide PBO, zinc plates

    NATAFUTA LEAD OXIDE PbO (Powder), Zinc Plates Naomba kwa yeyote anaye jua mahala pa kuipata kg 1 tu tafadhali anifahamishe, ni kwa ajiri ya laboratory tests for education purpose only aidha matangenezo ya lead acid battery
  14. S

    JamiiForums Tanzania Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    NATAFUTA MLANGO STARLET WA ABIRIA KUSHOTO NYUMA Kama kichwa cha habari kilivyo ,natafuta mlango wa kushoto wa nyuma haraka sana, Tafadhali kwa yeyote aliyenao tuwasiliane kwa PM au hata hapa hapa.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa Magari Adimu (brand tofauti na TOYOTA, Magari yenye changamoto ya upatikanaji wa Spare Parts) Tukutane Hapa

    NATAFUTA MLANGO STARLET WA ABIRIA KUSHOTO NYUMA Kama kichwa cha habari kilivyo ,natafuta mlango wa kushoto wa nyuma haraka sana, Tafadhali kwa yeyote aliyenao tuwasiliane kwa PM au hata hapa hapa.
Back
Top Bottom