Habari wana JF
Natafuta mwanamke mwenye heshima na upeo wa kiakili , na kimaisha ambaye yupo tayari kuishi maisha ya ndoa yenye upendo, heshima na furaha.
Ndoto yangu ni kumpata mwanamke wa umri kati ya miaka 25 - 30 ambaye hajawahi kuolewa na hana mtoto. Kama yupo mwenye uhitaji namkaribisha...
Mwanzo 2 : 21 - 25
1 Korintho 11 : 8 - 12
If really you want husband and build a happier family, your WELCOME.
NO hook up! Only for long-term relationship and establish a stable family together.
Kazi nzuri sana nashauri kuwe na utaratibu mzuri zaidi kama zile train za umeme za Ulaya like Germany, Sweeden, Netherlands, Norway etc
Tulipofikia kwa kuanzia sio mbaya lakini ingewezekana kama Dar kuwe na Metro system
Hongera sana kwa maamuzi sahihi na wakati sahihi. Lakini ni vema ukawa muwazi zaidi mfano unapatikana wapi, muonekano wako upoje mrefu au mfupi, mnene au mwembamba?
Na mimi pia someni signature yangu msijisahaulishe wadada wenye uhitaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.