Mimi nahisi pengine mtu anakua concerned na "heshima" yake pale anapoona mke wake anatoka anakasirika kwa kudhani pengine anavunjiwa heshima.. ni mtazamo wangu tu
ZD ishu ni moja hapa watu wengi tunahitaji kujua, ni general answer to general topic - nimesoma opinions nyingi za wanaume lakini we kama mwanamke unaweza kutuambia kwa niaba ya wanawake wengine kama ni kweli "mfungua milango" wa kwanza hata akija bila funguo utamfungulia tu no matter what. Jibu...
Miaka ya nyuma nilikua na desktop computer ambayo pia ilikua na tatizo hilohilo. Nilijaribu ku-install USB Drivers na hata kubadili Operating Systems bila mafanikio. Baada ya muda nilinunua USB Ports Extension hivyo nikawa nikitaka kuchomeka flash nachomeka kwenye ile extension ambayo naichomeka...
Usiiformat. Chomeka kwenye computer yenye Windows 7 na utapata option ya Scan To Fix The Errors, hii option itaondoa tu lile file ambalo limesababisha tatizo. Tatizo ni kwamba either kuna bad sector au ulichomeka kwenye computer ikawa attacked na some malware.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.