Ni kweli kabisa, hata mm ilishanikuta hiyo kadhia. Nilinunua kifurushi cha wk cha Tshs 2500 nikapewa mb 2560 lkn kabla ya saa 24 hazijaisha naambiwa sina bando la mb na sikufungua hata YouTube labda wangesema nimetumia zikaisha. Nilipowapigia sim hakuna cha maana walichonijibu. Nowadays natumia...
C ndio hapo sasa, sina uhakika kama Mange ana elimu ya kutosha "KUNA KUSOMA LKN USIELIMIKE" huenda huyu Mange yuko kwenye hilo kundi. Ni aibu kushupalia kitu ambacho hajafanyia utafiti, huo ni uvivu wa kufikiri. Nitamuelewa iwapo atakuwa na evidence juu ya hilo jambo.
TUJIULIZE:
1. Nani...
Namkubali sana Deus Kibamba ni mtu makini, ukiwa na tafakuri nyepesi hutomwelewa. Ni kweli kabisa huwezi kumpinga Rais hadharani kwa kivuli na kiki tu za kisiasa bila kuona mazuri yaliyofanywa na serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.