Norway imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania katika kukijengea uwezo Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ili kuiwezesha sekta binafsi kushiriki kikamilifu kujenga Uchumi wa nchi.
Hayo yameelezwa jijini Dodoma, na Mhe. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb)...
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), ameliambia Bunge, Mjini Dodoma kuwa katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2016/2017 hadi Desemba 2023, imewalipa wazabuni na wakandarasi wa ndani zaidi ya shilingi trilioni 2.1 kati ya madai ya zaidi ya shilingi trilioni 3.1...
Dalili moja wapo ya kumuogopa mtu kwa nguvu na ushawishi alionao Ndiyo hii !Ambapo nyie CHADEMA hata mgefanyaje hamuwezi kumfikia Mwigulu hata robo kisiasa na hata akili yake ni kubwa mno
Nimesoma na kutafakari andiko lako bilashaka unatamani Mwigulu Nchemba arudi tena Iramba na nikutoe shaka na kukurekebisha kwamba Mwigulu yupo Iramba na ndiye Mbunge halali wa Iramba ! Kurudi tena kivipi wakati ndiye Mbunge wa Iramba na wana Iramba wanafuraha kuwa na kiongozi kama yeye hapa pata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.