Shida wengi wanaocomment positively humu ni watu wa serikali just ignore there statements, mambo yakigeuka wao wana disappear, nchi hii imejitenga na lazima hasara yake tutaiona tuu
By nature watanzania ni wanafiki sana halafu wana wivu wa kijinga hhasa miaka hii ndio imezidi nchi yao imesimama haiendi kwa hiyo kuwaangusha wakenya wao wanafurahi sana
Uchunguzi wa nini kwanza hizi mshine mnanua nyinyi serikali, huyu dada mdogo mmempa stress ya bure halafu mnamletea matakataka kwa siri garbage in halafu mnategemea majibu sawia mmepata garbage out
Jamani makofi matatu kwa korona, inamega kule kule juu, tuende tuu akili zitawapata, sisi kufa na kuzikwa tumezoea, sasa wao kifua india mafua marekani, poooo corona hiyo tuko wote hapa , corona hoyeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.