Habari,
Natafuta kazi ya ukemia wa dhahabu (gold processing)
Kwa mwenye connection ama kazi naomba anisaidie wakuu maisha magumu bila kazi ndugu zangu tusaidiane
Jinsia yangu ni +ke hata kazi nyingine naweza kufanya, nipo Geita
Habarini..
Mwenye connection ya kazi ya ukemia(uchenjuaji/mineral processing) kwa geita nipo hapa dada yenu nina uzoefu na uaminifu pia katika kazi,mwenye plant ama connection naomba anisaidie hata kazi nyingine pia naweza kufanya kama kusimamia mradi,shell,storekeeper n.k...Maisha ni magumu...
Habari wanna jf...
Kuna mtu anahitaji chumba cha kupanga mwanza mjini kama unacho au unafaham kinapopatikana naomba unijuze ila usiwe dalali
chumba kinachohitajika ni cha 30,000 kiwe katika hali nzuri.
Habari
Mi naandika story na scripts naomba kwa anaehitaji au kuniunganisha na wanaohitaji stories anisaidie
Hata Kama utahitaji kuandikiwa nakuandikia halafu utapublish mwenyewe
Topic yoyote utakayohitaji nakuandikia
Mawasiliano 0675676269 au pm
Mazulia safi na ya kupendeza popote Tanzania utatumiwa kwa uaminifu mkubwa Unaweza pia kuchagua maneno unayohitaji kuwekewa kwenye zulia lako.
Bei ni nafuu kabisaTsh 12000 kwa Bei ya jumla 15000 rejareja kwa mazulia ya mlangoni Pia ukihitaji makubwa zaidi utatengenezewa Napatikana Mwanza Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.