Recent content by sobya

  1. S

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Asante sana Mwl. Mimi si mtaalamu sana wa IT na ushauri wako ungenifaa pia. Lakini nitaangalia.
  2. S

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mwl. RCT mimi nahitaji laptop mack book yenye capacity isiyo kubwa sana wala ndogo sana na size iwe ya kati siyo ndogo wala kubwa, nisaidie na bei pia iwe nzuri. Nisaidie Mwl.
  3. S

    Mwanaume ukitumia aina hii ya chai hutodanganywa kamwe na matapeli wa kutibu nguvu za kiume

    Mtoa mada asante. Kwa wanawake inasaidia pia? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Post sent using JamiiForums mobile app
  5. S

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Unaweza kununua na kunisafirishia bidhaa ya dawa ambazo ni suppliment za kunywa toka USA? Post sent using JamiiForums mobile app
  6. S

    Nape Nnauye: An exemplary leader!

    Mimi si mwanachama wa chama chochote lakini napongeza msimamo wa Mh waziri, amefanya alichotakiwa kufanya kama Waziri mwenye dhamana, hongera sana Mh Waziri kwa kutambua wajibu wako!
  7. S

    Mrejesho: Upungufu wa nguvu za kike

    Asante sana kwa ufafanuzi, barikiwa!
  8. S

    Mrejesho: Upungufu wa nguvu za kike

    Naomba uelekeze kipimo kwa mfano tende kiasi gani,mdalasini vijiko vingapi nk nk. Tafadhali Ntigy!
  9. S

    RC Makonda: Kuna waumini 12 walipanga kunitupia majini

    Nimecheka sana. "Dar imepatwa "!!
  10. S

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Septrine za 1000 na mafuta ya vaseline madogo kabisa ya mwisho nadhani ujazo ni 100 ml.
  11. S

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Anthony, unakwenda duka la dawa unaomba kuuziwa septrine za 1000 na mafuta ya vaseline madogo kabisa au baby care kama alivyoshauri youngkato (daktari wetu ) unazisaga septrine mpaka zinakuwa unga bila chenga hata kidogo, unachanganya na hayo mafuta, vikichanganyika unapaka kwenye ugonjwa...
  12. S

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Nakushukuru sana youngkato nilitumia hiyo septrine ya 1000 na mafuta ya vaseline nilikuwa na fangas sugu mguu wa kulia kwa zaidi ya miaka 10 nimepona, asante sana Mungu akubariki.
  13. S

    Nauza majiko Sanifu ya mkaa

    Nipo Morogoro, yanapatikana sehemu gani? Nahitaji . Simu 0715006496.
  14. S

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Habari. Naomba na mimi nijiunge nipate ushauri na uzoefu wa ufugaji wa nguruwe 0785 006496.
Back
Top Bottom