Kamata haki yake, Mrema alimtahadharisha kuwa yeye mwaka 1995 alitandikiwa kanga barabarani, awe mwangalifu, yeye mwaka huu amdekiwa barabara, sasa anatapata, watanzania wana akili
Bwana wee,
kumwaga damu!!!!!!!!!, acha uchuro naona umechoka kufikiri, umeanza vizuri, lakini mwisho umeharibu kabisa!!!! sidhani kama mawazo yako haya yana tija kwa watanzania
Wana JF,Hivi tunapoteza muda kuzungumzia Nyaucho. CDM wenyewe kama ni makini hawawezi kumsikiliza nyaucho wenye akili wanamfahamu kuwa ni :A S-rap::A S-rap::msela:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.