Recent content by sobaja

  1. S

    Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

    WEWE acha hizo, hapa kazi tu hapa kazi tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  2. S

    Alichinjwa ndani ya CCM, Watanzania nao inaonekana wamemchinja bila ya huruma, sasa anatapatapa

    Kamata haki yake, Mrema alimtahadharisha kuwa yeye mwaka 1995 alitandikiwa kanga barabarani, awe mwangalifu, yeye mwaka huu amdekiwa barabara, sasa anatapata, watanzania wana akili
  3. S

    Wosia wa mwisho kwa vijana wa Kitanzania

    Kwani nyie watu, mbona yote mmefanya uchaguzi umeisha, haki yako umetimiza, na wewe uliyekata tamaa, usichochee wengine
  4. S

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Jamani, humu kwenye jamvi mnafanya nini kwani huyo EL ni lazima kuwa Rais, hakuna haja ya kampeni humu:juggle::mvutaji::A S-frusty2:
  5. S

    Kama Lowassa ni fisadi, Rais Kikwete tamka hadharani

    Hivi nyie watu, CDM walimtaja fisadi pale Mwembeyanga, sasa iweje hoja hiyo iwe ya KIKWETE MNACHEKESHA BWANA
  6. S

    Upinzani utashinda kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka huu 2015

    Bwana Wewe, huo siyo uchambuzi ni ramli. Kumbuka hii ni siasa siyo ramli kaka
  7. S

    Bajeti ya wizara ya Kilimo yapitishwa na wabunge 28 tu!

    Bwana wee, kumwaga damu!!!!!!!!!, acha uchuro naona umechoka kufikiri, umeanza vizuri, lakini mwisho umeharibu kabisa!!!! sidhani kama mawazo yako haya yana tija kwa watanzania
  8. S

    Marando: Nitatangaza Matokeo kabla ya Kuchakachuliwa

    Wana JF,Hivi tunapoteza muda kuzungumzia Nyaucho. CDM wenyewe kama ni makini hawawezi kumsikiliza nyaucho wenye akili wanamfahamu kuwa ni :A S-rap::A S-rap::msela:
  9. S

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Koma ubishi wa kijinga, kumbwe katumwa!!!!!!!!!!!:eyebrows::baby::A S 465:
  10. S

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    EEH koma ubishi wa kijinga , kujifanya unajua, kumbe umetumwa !!!!!!!!!!!!!!
  11. S

    Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

    Peoples pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:flypig::flypig::flypig::flypig::A S-frusty2::A S-frusty2::A S-frusty2:
  12. S

    Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

    Peoples pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:flypig::flypig::flypig::flypig::A S-frusty2::A S-frusty2::A S-frusty2:
  13. S

    Barua: Dr. Mwakyembe, kilichokuponza ni mikakati ya kufufua reli ya kati (TRC) ili kuondoa Malori

    Zimwi wewe unayebwabwaje, usi generalise, sema ishu
  14. S

    CHADEMA wanuna Zitto kwenda CUF

    Kwani nini maana ya makubaliano yaani
Back
Top Bottom