Recent content by sntirundura

  1. S

    Amin’s former top soldier reveals why TPDF won

    I'm very much delighted by this amusing article.In fact it has imp rest me beyond measure. By the time I was at Musoma fresh from JKT and.......In war whether u like it or not avoid mistakes .Bravo TZ & TPDF.
  2. S

    Adhabu ya kunyonga hadi kufa imepitwa na wakati?

    Hakuna sababu za kulumbana .she ria ni sheria ,swala la wakati sio muhimu. Hakuna wakati wowote ambao kifo cha MTU yeyote nje ya mapenzi ya Mungu kinahitaji HURUMA. Anae advocate HURUMA namwona nae Kuwa muuaji. Kwa kifupi tii amri ya "USIUE".
  3. S

    msaada wa haraka ndoa inavunjika

    Kwa kutambua kosa lako la kuvunja ahadi yako chukua hatua ya kuacha haraka. Usimuudhi muumba wako kwa kumfanyia hiana mwenzako was ujana wako hutafanikiwa.
  4. S

    Eti anataka kuona, hii imekaaje wadau.

    Dhambi hiyo usijaribu.msiyachokoze hata muda utakapowadia......
  5. S

    Kwa wanabaolojia;nini kinapelekea utofauti wa tendo hili miongoni mwa wanaume.(ejaculate)

    Swali lako ni jema na la muhimu sana kwa kila mwanamume kulifahamu jibu lake. Nashukuru kwa kuwa muwazi kulitaja.najua ni tatizo la jamii kubwa hasa wanaume kwani wao ndio waathirika zaidi. Elimu yake sawa na kitchen party kwa vijana kabla ya ndoa.kwa vile wenye shida hao unaotaja ni wapenzi tu...
Back
Top Bottom