Recent content by snkoha

  1. snkoha

    JamiiForums yashinda mapingamizi yaliyowekwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)

    we need to trust our Judicial Systems, they are independent na wanasimamia haki , kwenye hili la Cyber crime niwape Hongera kea one step forward atleast there is a room wa hizo Preliminary Objections kusikilizwa. Big Up
  2. snkoha

    Kuna uhusiano gani kati ya binadamu na mwezi?

    moon ana nafasi mystical katika historia ya utamaduni wa binadamu, hivyo ni ajabu kwamba hadithi nyingi - kutoka werewolves kwa ikiwa kichaa kwa kifafa kifafa - kujengwa kuhusu athari zake zinatakiwa juu yetu. "Ni lazima mwezi kamili," ni maneno kusikia wakati wowote mambo mambo kutokea na...
  3. snkoha

    NSSF ndani ya ufisadi mzito: Wajanja wapiga zaidi ya Sh. Bilioni 179

    ahahaha, kwani alichomeka wapi?
  4. snkoha

    PCCB: Kesi ya UKWEPAJI KODI ya Lake Oil imekamilika, tumewapa miezi 2 kulipa bilioni 8.5 kwa umma

    wacha pesa ipatikane kwanza then the rest will follow
  5. snkoha

    Kampuni ya Six Telecom yafungiwa kwa kuisababishia Serikali hasara ya Sh. Bilioni 8

    Approach iliyotumika sidhani kama ni rafiki kwa wawekezaji Tanzania, Je walikaa na management wakajadili iyo kodi? mamlaka hizi zinabidi zijieendeshe kijasiriamali na si kutumia mabavu na kuvunja uhusiano mzuri kati ya wawekezaji na hizi taasisi za serikali. Kma hivi ndivyo mtawatisha hata wale...
  6. snkoha

    Barabara mpya ya Msata-Bagamoyo inasambaratika hata kabla ya ufunguzi

    Engineer wa serikali atakayeipokea hi barabara in wakufunga jela kabisa.. Na Huyo atakayeenda kuifungua asikate utepe tu atembee aikague.. Nishapita hi barabara Iko chini sana ya kiwango.. Tuone Mzee wa kaya atafanya nn ni Njia ya kwenda Kwake...
  7. snkoha

    Zitto Kabwe waziri mkuu 2015, serikali ya UKAWA

    Na kwa hili halivyolisimamia bado umelala tuu huoni, Mpe haki yake acheni fitna na uzandiki bwana..kafanya kazi nzuri, kasimamia ukweli mpaka leo hii wamekubali na makando kando yote yameonekana, Think..sio kwasababu unavidole na internet ya bure baasi unabwabwaja tuu
  8. snkoha

    MH. Mwigulu ni Mtetezi wa wanyonge bila chembe ya shaka

    Nimemsikiliza kwa makini Mh.Mwigulu leo nimekubali kura yangu niliyompigia Singida haikupotea bure, wewe ni mtetezi halisi wa wanyonge, ameongea Kimamlaka, Kizalendo na Kwa niaba ya masikini. Tukiwa na viongozi kama wewe hii Tanzania itakuwa ni mahala pazuri sana pakuishi. Kuna baadhi ya Wabunge...
  9. snkoha

    Tundu Lissu akwepa kukabili kifua cha mh. Mwijage leo

    kama hujapewa pesa kwenye hili la ESRCOW au ndugu yako yeyote hajapata mpunga hapo, unahitajika kwenda kucheki akili yako vema kwa daktari....tuache ushabiki, mm mwenyewe ni kada mzuri ila kwenye hili hawa ndugu zetu wametupiga changa la macho
  10. snkoha

    CHADEMA kupitia Marando, Mnyele & Co. advocates na Sakata la ESCROW

    Mfanyabiashara makini ni yule anayeweza kutofautisha maslahi/matumizi binafsi na biashara.
  11. snkoha

    Sakata la Escrow: Maofisa wa PAP watinga Mahakama Kuu

    wewe unatakaje? wezi wakamatwe au? wananchi watapata pigo gani kwenye sakata hili kuwakamata wezi? hoja za yako haina mashiko.. ni Style ile ile ya tembo kufa... wakiponyoka hapo tunawasubiri mitaani...
Back
Top Bottom