Hivi na akili zenu timamu na mawazo yenu finyu mnazani wafanya biashara hawalipi kodi, miaka yote mpaka wanafungua unamaana walikuwa hawalipi tatizo ni mfumo wa hizo machine
Weee Asad, una miaka mingapi kwanza, usikute unamiaka 14yrs old, biashara imeanza mwaka gani tanzania? Na kama walikuwa hawalipi au wanakwepa serikali ilikuwa wapo miaka yote hiyo? Elewa kila mtu anawwza uza milioni kumi na nne ila je kwenye hayo mauzo faida yake ni ngapi? Na anampa TRA ngapi?
Wewe francis uliyemaliza harvard lete thread yako, u need info for the EFD, do a research kwa uelewa wangu nimegundua hata nikikwambia your not of help
Huyo mwananchi atakae shawishiwa kuandama atakuwa zuzu, siatumie ufahamu wake wa kuzaliwa, atatumia ufahamu wangu je anajua unatoke la aina gani? Its free world, I give ma views, mie hata sio mfanya biashara ila nimewasikiliza hao wafanya biashara na nimeelewa, wewe nani asiyetaka kulipa kodi...
Balaki, we don't need kumshawishi mwananchi a strike, cos for mfanya biashara ataongeza price to cover up the 18% but the problem comes wateja watatoka wapi, coz bandari kwa kuongeza ushuru tulipoteza wateja wa nchi za jirani that means tumebakiwa na internal market which is not good for the...
Migomo hii si kwa faida ya wafanya biashara tuu ila bali ni kwa wananchi kwasababu jiulize mfanya biashara anamuuzia nani kama sio mwananchi, that means kila kitu kitapanda bei ujenzi, uvaaji, vipodozi, simu vyote vitakuwa juu, wananchi amke jamani open your eyes and see, kila kitu kinapanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.