hapa naweza tetea Wakenya,wanayo Nchi ambayo Haina mvua,Yani ata ukijaribu kupanda vyakula havimei,ama hayo kidogo yanaliwa na ndege kwasababu ya makali ya njaa!
Hapa Tz tumshukuru Mola kwa kuwa hatujapitia makali ya ukame Kama ambayo Kenya inayapitia.
Ingekuwa nisisi uko Kenya tungekuwaje...
kwani Tanzania kwetu hakuna wabeba maji na mkokoteni???kwanza Dar ni wengi sana!!!🙄mumependa sana kujifanya highclass jamii forums na uko chini watz tunaumia!!
Tanzania tuko pabaya sana,Magu alitudanganya eti sisi ni donor country😭nimecheki reli yetu🚮🚮🚮 ata heri ya Kenya iko Kama ya USA,yetu tumeletewa ya kubeba wakulima wa kahawa uko Korea🚮
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.