Ikitokea samia aende kuwa raisi wa Zanzibar halafu Dr. Mwinyi aje kuwa raisi wa JMT, naamini Taifa litarudi kwenye utulivu wake immediately. Ndio!. Ila najua kuna wengine watabisha. Do you know WHY?.. THE ANSWER IS VERY SIMPLE...
Anaeaminika ya kuwa mastermind wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah kamanda Fuad Shukr inasemekana ameuawa katika shambulizi hili la IDF jijini Beirut , Lebanon.
Generali kiongozi wa jaribio la mapinduzi nchini jijini La Paz nchini Bolivian Juan Jose Zuniga amepigwa mvua ya miezi sita mahabusu wakati uchunguzi ukiendelea kubani wote walio nyuma ya pazia.
Endapo generali Zuniga atakutwa na hatia, basi uhenda akahukumiwa kifungo kisichopungua miaka 20...
"The enemy must expect us to come by air, land and sea. In case of an imposed war on Lebanon, the Resistance will fight with no boundaries. We will abide by no equations, nor any laws. Let the Zionist enemy and their American masters hear this carefully."
Aisee! Kauli nzito sana hii.
Hawa...
Any airfields hosting Ukraine's F-16 fighter jets, whether they are in or outside the country, will be legitimate targets for the Russian military if they participate in combat missions against Moscow’s forces." Said Mr. Putin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.