Naona tumegawanyika kidini

Naona tumegawanyika kidini

Mleta mada ni sehemu ya wapumbavu wa samia mnaotumwa kupandikiza mbegu ya udini.

Mwambieni huyo mshenzi wenu samia. Watanganyika hatuna mgawanyiko wa dini na ameshafeli kutupandikizia udini.

Tatizo letu ni yeye na ccm yake wala sio duni
 
Solution ni rahisi tu, TEC wafanye kazi Yao,kuhubiri dini siyo kutwa siasa
Mangungu na hersi wangetoa matamko nane tangu Samia aingie, lazima akilini ungekua na alama ya kuuliza, kiongozi wa mpira na siasa?..ila hujiulizi kiongozi dini na siasa sababu ni kiongozi wako wa kiroho
Mbona kina Mwamposa kila siku kusifia hata walutheri wao kila siku majukwaa ya kisiasa kumsifia Mama ila sijaona mkisema ni wanasiasa!!

Magufuli walimwandikia nyaraka zaidi ya 10 wakimkosoa mambo ya demokrasia na nyingine pia wakimsifia. Sasa mbona hamkusema ni udini?
 
Kimsingi huyo amekulia kwenye uisilamu wenye tafsiri hasi dhidi ya RC. Ameuficha tu baada ya kuwa kiongozi, ila akipata changamoto yoyote hasa ikitokea kwa RC, background yake inasoma kwa haraka. Anajitahidi kuficha ukweli kwenye kichaka cha dini. Anajua mtazamo wa kidini ukiwepo, utaficha ukweli wa kuwa yuko madarakani kwa wizi wa kura, na mauaji.
Najiuliza hao TISS na JWTZ wanaruhusu vipi haya? Yaani wamekubali nchi ipasuke kidini hata makanisa na misikiti ichomwe ili tu kumlinda Mama??
 
Solution ni rahisi tu, TEC wafanye kazi Yao,kuhubiri dini siyo kutwa siasa
Mangungu na hersi wangetoa matamko nane tangu Samia aingie, lazima akilini ungekua na alama ya kuuliza, kiongozi wa mpira na siasa?..ila hujiulizi kiongozi dini na siasa sababu ni kiongozi wako wa kiroho
Kwa hiyo ulitaka waitii amri ya shetani ya kuwaweka majeruhi mochwari?
 
Najiuliza hao TISS na JWTZ wanaruhusu vipi haya? Yaani wamekubali nchi ipasuke kidini hata makanisa na misikiti ichomwe ili tu kumlinda Mama??
Mkuu wakuu wote wa vyombo vya dola ni wafaidika wa utawala huu, na inapotokea kiongozi hakubaliki hivi, wanapomlinda ndio wanavyofaidika binafsi kwa rushwa, maana ili huyo kiongozi aendelee kukaa madarakani ni lazima wao wamlinde. Na hapo ndio wanapovuna mabilioni.
 
Acha kulia lia...
Chagua 9d utoke au utulie ndani!

Yeye alisema hakuna kiongozi yeyote wa kidini mwenye uwezo wa ku override the government
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mbona kina Mwamposa kila siku kusifia hata walutheri wao kila siku majukwaa ya kisiasa kumsifia Mama ila sijaona mkisema ni wanasiasa!!

Magufuli walimwandikia nyaraka zaidi ya 10 wakimkosoa mambo ya demokrasia na nyingine pia wakimsifia. Sasa mbona hamkusema ni udini?
Hakuna nyaraka zaidi ya kumi dhidi ya magufuli,kuna waraka mmoja tu wa pasaka 2018 licha ya viroba vya maiti kuokotwa kila uchao, MKIRU watu kuuawa,watu kuchukuliwa pesa benki
Tena huo waraka wa pasaka una lugha laini ajabu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sikuwahi kuwaona Baba na Mama mzazi wakiwa pamoja, Baba alioa Muislamu na akatuchukua toka kijijini kwetu akatuleta mjini, nimelelewa na Mama Muislamu tangu 1996-2004! Badae nilienda kuishi kwa Babu na Bibi wa Mamaangu mlezi (Mungu awape pumziko jema) mpaka 2010, badae nikaenda kuishi kwa Mamaangu Mkubwa (Dada wa mama mlezi) mpaka 2016 nilipoaanza kujitegemea.

Nakiri wazi kuwa awa ndiyo watu wangu wa karibu kuliko wale wa upande wa Mamaangu mzazi, nikiwa na jambo lolote nimekwama basi napiga simu kwa Mamaangu mkubwa na analibeba 100%. Leo nije kuchukia Waslamu sababu ya mabaya Samia? Hilo haliwezekani katika maisha yangu.
Same story na mimi Baba na mama mmoja muislamu mwingine mkristo na nililelewa kwa upande wa wakristo na mimi ni mkristo but mzazi wangu mmoja ni muislamu
 
Hakuna nyaraka zaidi ya kumi dhidi ya magufuli,kuna waraka mmoja tu wa pasaka 2018 licha ya viroba vya maiti kuokotwa kila uchao, MKIRU watu kuuawa,watu kuchukuliwa pesa benki
Tena huo waraka wa pasaka una lugha laini ajabu
Acha utoto wewe, walitoa nyaraka zaid ya 10 au hujui hata majimbo yalikuwa yanatoa matamko hadi Askofu Niwemugizi akaitwa sio raia!! As early as 2017 alafu unaleta ngonjera hapa.

Serikali ikikosolewa ni sababu ya utendaji wake sio dini au jinsia. Kama issue ni dini kwani katoliki si wangemtetea JPM kwenye kila jambo?
 
Guys
Sifa ya kiongozi wa nchi ni kuwaunganisha wananchi wote pamoja bila kujal dini zao, kabila, rangi wala vimo vyao

Ila kwa kiongozi wetu naona washauri wamemwambia wakatoliki hawakupendi na yeye amejaa kwenye mfumo sasa ameanza kuligawa taifa kidini, ukitaka kuamini hilo pitia comment nyingi zenye majina ya Kiarabu wengi wanampongeza na kumsifu na wengine wameenda mbali wanasema wanampenda na wanavutiwa na speech zake.

Yaani unaona kabisa udini this time around unaenda kushika kasi
Guys hii sio ishara nzuri kwa taifa na nchi kwa ujumla.

Washauri wake wanampoteza vibaya mno
HILI LA UDINI LILISHA FELI MUDA TU. WANA FORCE NOW.
 
Acha utoto wewe, walitoa nyaraka zaid ya 10 au hujui hata majimbo yalikuwa yanatoa matamko hadi Askofu Niwemugizi akaitwa sio raia!! As early as 2017 alafu unaleta ngonjera hapa.

Serikali ikikosolewa ni sababu ya utendaji wake sio dini au jinsia. Kama issue ni dini kwani katoliki si wangemtetea JPM kwenye kila jambo?
Weka hapa hizo nyaraka kumi za TEC wakati wa magu,acha kubwabwaja
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Acha utoto wewe, walitoa nyaraka zaid ya 10 au hujui hata majimbo yalikuwa yanatoa matamko hadi Askofu Niwemugizi akaitwa sio raia!! As early as 2017 alafu unaleta ngonjera hapa.

Serikali ikikosolewa ni sababu ya utendaji wake sio dini au jinsia. Kama issue ni dini kwani katoliki si wangemtetea JPM kwenye kila jambo?
Nakuongezea,hapo kwa jpm waraka mmoja tu wa pasaka mengine ndiyo kuropoka akina niwemugizi,ila angalia kwa viongozi waislam
 

Attachments

  • Screenshot_2025-11-20-16-55-40-719.jpg
    Screenshot_2025-11-20-16-55-40-719.jpg
    132.6 KB · Views: 7
Ndiyo vizuri mbwa nyinyi,mmejaa chuki, yaani ushungi wake pale ikulu unawauma sana,muda mrefu tu mnamuita bi ushungi,mara mzanzibar ila mnajua kinachowakera
Upo bize na kulima au kulima JF
 
Huyu akiwa kijiwe cha kahawa pale shule ya Uhuru, alikuwaga anahapa kwa jina la Allah kabisa kwamba hakuna mtu atatoka siku ya oct29 na hoja yake ilikuwa waTanzania ni waoga na wanafki huku akirejea baadhi ya maandamano kama #UKUTA, yaliyoratibiwa na Chadema yakafeli.So, nahisi ni hasira ya kile kilichotokea na hakutegemea kama watu kweli wataingia barabarani na yeye alikuwa anafanya vihapo kama Manara kwamba hamna wakutoka.
 
Back
Top Bottom