NIMEDHULUMIWA MAKAZI YANGU NA BW. IBRAHIM ARON, MTUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA SINGIDA NIKIWA CHUONI.
MAKALA YA WAZI KWA WATU WOTE
Kwa jina naitwa John Hassan mkazi wa kijiji cha nduu kata ya kijota tarafa ya Mtinko, mkoa wa Singida . Nimezaliwa miaka 25 iliyopita. Katika familia yetu mimi...
NIMEDHULUMIWA MAKAZI YANGU NA BW. IBRAHIM ARON, MTUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA SINGIDA NIKIWA CHUONI.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]MAKALA YA WAZI KWA WATU WOTE[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa jina naitwa John Hassan mkazi wa kijiji cha nduu kata ya kijota tarafa ya Mtinko...
NIMEDHULUMIWA MAKAZI YANGU NA BW. IBRAHIM ARON, MTUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA SINGIDA NIKIWA CHUONI.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]MAKALA YA WAZI KWA WATU WOTE[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa jina naitwa John Hassan mkazi wa kijiji cha nduu kata ya kijota tarafa ya Mtinko...
NIMEDHULUMIWA MAKAZI YANGU NA BW. IBRAHIM ARON, MTUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA SINGIDA NIKIWA CHUONI.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]MAKALA YA WAZI KWA WATU WOTE[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa jina naitwa John Hassan mkazi wa kijiji cha nduu kata ya kijota tarafa ya Mtinko...
MAKALA YA WAZI KWA WATU WOTE
Kwa jina naitwa John Hassan mkazi wa kijiji cha nduu kata ya kijota tarafa ya Mtinko, mkoa wa Singida . Nimezaliwa miaka 25 iliyopita. Katika familia yetu mimi ni mtoto wa mwisho ndugu zangu wote wakike na wakiume wote wanafamilia zao. Kwa sasa siishi nao.
Nilifiwa...
Nilienda kwa mkuu wa wilaya kipind cha likizo fup mwez wa tatu nikamwelezeeea shida yang akatoa maagizo lwa mwenyekiti wa kijiji na mtendaji nao pia hawakutekeleza nikamrudia tena akatoa maagizo kwa diwan kuwa diwan ahakukishe nimepewa eneo lang na pia mjomba atafutwe alipo afungwe ila diwan...
Ndio kikao cha ukoo kiliniteuaa lakin kutokana na kuwa mimi ni mwanafunzi sikupata muda wa kufatilia mirathi mahakaman kwan hatukuwahi kuwa na mgogoro wa familia kuhusu ardhi . Ni mjomba ameamua vile
NIMEDHULUMIWA MAKAZI YANGU NA BW. IBRAHIM ARON, MTUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA SINGIDA NIKIWA CHUONI.
Kwa jina naitwa John Hassan mkazi wa kijiji cha Nduu kata ya Kijota tarafa ya Mtinko, mkoa wa Singida. Nimezaliwa miaka 25 iliyopita.
Katika familia yetu mimi ni mtoto wa mwisho ndugu...
We kejof2 siku ukikua utaona kuwa ulikuwa umepotea kama sisi wapinzani tunaumizwa na huu udikteta pekeee yetu basi Hamna shida lakin kumbuka katika huu huu upinzani WaPo na ndugu zako kama we hauumiii wataumiiia wao siku wakifa utapata akili #UKUTA
Ni kwel kabisa Israel ni taifa imara na lenye nguvu za ki Mungu. Mungu alilibariki Milele na milele so huwez kuliondoa taifa la Israel kweny ramani ya Dunia nafikiri tuige mfano kwa hawa wenzetu wa Kenya. Mwl Nyerere alikuwa amefungamana na siasa za ujamaaa ambapo alijikuta kufungamana na USSR...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.