lkn pia ni vzur kuamua mapema watoto wenu watafata dini ya nan coz familia nyngne utakuta kaka mkristo alf mdogo wake muislam ki2 ambach kwa mtazamo wangu c kizur
jaman kumbukeni mwanzoni mwa mwaka huu papa alitoa ruksa kwa padri yeyote anayejisikia kuoa afanye hivyo,pia ameruhusu wanawake kuwa mapadri kwenye baadhi ya nchi kadhaa....kwa wale wanaofatilia habari mnajua.
juc an advice,kama hauna something special kinachoweza kukutofautisha na wanaume wengine wa kawaida kama pesa etc..huwezi kumtongoza msichana kwa mara ya kwanza akakukubalia "labda awe kipori" lakini njia rahisi ya kumpata ni kutengeneza kwanza urafiki naye alafu mambo ya kutongozana baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.