Sema nao jamaa walikuwa na maksudi tuu ... unamwachaje mgeni apande wakati kiroba hakijafika juu ... alitakiwa akae station..(fonka).
Those days....mwabomba,Nyakasaluma,Mwime,Nyangalata, Bukandwe,Nyakafuru,Nyakahula...
uzuri ni kwamba huendi kwa maamuzi yako utafikishwa hapo na GCS ya 5/15 ..mkuu watakugusa tuu usiwe na shaka na utakuja kure-gain counciousness ukiwa hapo
Training ya medicine haiko hivyo lazima trainee aguse mgonjwa under supervision ... No short cut and MNH-MLG haina wanafunzi wengi compared to MNH-upanga
Umeshawahi kumsaidia jamaa/Ndugu akapata connection ya kazi, au tender ... then akaharibu? unajua how hard kuwa referee wa watu ambao wengi wao tukipewa connection tunaenda kuharibu reputataion ya wale waliotu-recomend?
Any way don't take it personal saidia nenda zako.....
Nikawa mkali tuu, nikawaambia kama hazingatii taratibu/Ethics za kazi yake waamue tuu kutokana na taratibu za ofice yao na nisiitwe tena sijui mdogo wako kafanya nini mkuu njoo....
Tunamatatizo ya uaminifu last year i did to my own young bro,,,, Alichoenda kufanya sasa kwenye ofice za watuu daaah daily naenda kumtetea mwishowe nikaona nisiharibu reputation yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.