hongereni sana kamati kuu ya CHADEMA kuchukua maamuzi magumu ila muhimu kwa uhai wa chama na manufaa ya nchi kwa ujumla. CCM hapo ndio wanachemka kulea watu wenye matatizo
kamati kuu tunawapongeza sana kwa kuchukua maamuzi magumu hapo CCM ndio wamechemka miaka yote kushindwa kuonya wanaoharibu sifa za chama. Peeeeeeople's Power tuende kazi..
Yani huyo dada hajawa serious kweli nitoe mbegu zangu tena nisijue mtoto anaishi wapi? Kwenda zako kaa na vijisenti vyako tuone kama pesa zitakuzalisha.
Wewe dada usitupotezee muda, mwenye akili timamu hawezi kukubali hayo masharti yako. Wewe ndio mwenye shida tena unaleta jeuri mara hakuna ngono baada ya kupata mimba, ata kama una pesa kuliko Dangote utafanikiwa kaa na pesa zako bila mtoto tuone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.