Kiujumla mifumo (MATRIX) ipo mingi katika category mbalimbali SOCCER ikiwa ni mojawapo.
Soccer ni social engineering (Swarm intelligence) aliyosukwa na ma-architect ili ku-kontrol mass kwa lengo maalumu.
Kwa kifupi sana michezo na burudani duniani kote inamalengo zaidi ya moja... Sasa moja ya...
Haihitaji hata sababu ni ukweli na uwazi kwamba kuna uchafu mwingi kwenye vinywaji.
Mamlaka au watumishi wa mamlaka zinazodhibiti ubora wanaco-exist na wahuni kwanamna moja ama nyingine.
Kwahiyo watumishi sio waadilifu hali hii inatokana na aina au nature ya uongozi uliopo Sasa.
Kuna viwanda...
Ulimwengu huu ni mkuu na mkubwa sana Lugha pekee haitoshi kuelezea mambo yote. Ukitegemea lugha pekee utakuwa umejilimit ufahamu wako na uwezo wa kutafakari mambo. Hivyo hauutumii uwezo wako wote wa ubongo.
Ngoja tuone kikubwa tuombe uzima kwani hii siku za usoni haitakua breaking news tu! Bali itaandika na kubadilisha historia na mwenendo katika jiografia ya Afrika mashaliki.
Taifa litapata sura mpya.
Kwa muktadha wako unamaanisha nini unaposema neno "moyo na pia neno Hisia"
Kwakua mkuu hou moyo unaouzungumzia hapa sio Moyo ni hisia[emotions] ambazo nazo zinazalishwa na huohuo UBONGO ukiwa katika hali fulani...
Moyo tunaoujua sote kwa mujibu wa sayansi yasasa jukumu lake ni kusukuma damu...
Ubongo ndio unaohusika ndio unaratibu shughuli zote za mwili.
Hii ni Kitaalamu kwa maana ya sayansi inayojikita katika phenomenon za ki-physical world.
Na pia hata kiroho ubongo utahusika pia kwani ninaamini kupitia ubongo center flani hivi ndio inatuunganisha na au tunapata access ya ROHO
Kutakua na matengenezo ya mashine, baada ya kukamilika wataijaribisha kwa kuitega na kutazama namna inavyopushi gurudumu linaloanzisha mzunguko (mwendo).
Lakini mafundi (ndugu) hao mkubwa ndio anaepambania makanika ya ile mashine pale, wakati huyu bwana mdogo yupo bize ndani huko ni kama...
Huyu ashajikanyaga, maskini hajui kucheza na maneno kinafki.
Anajaribu kuuvaa unafiki rakini saikolojia yake inakataa (fikra zake za ndani kuhusu hari ya nchi yake).
Kwa mtu timamu kuperekeshwa kama nguruwe... Ni jambo moja gumu sana rabda uwe hujitambui(wanakutumia tu) au huna utu, haujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.