Recent content by Smartkahn

  1. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Political Debate: Tanzania's current democratic governance system.

    Ningeomba pia vyama na wadau wa siasa nchini wachukue kama wazo na walifanyie kazi katika majukwaa mbalimbali ili tu kuhakikisha vijana wakeleketwa wanarumbana kwa hoja kwa mustakabali mzima wa Taifa lao. Kwani sifia sifia na uchawa ni kuharibu potential ya vijana smart na machachari kwa kesho...
  2. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Political Debate: Tanzania's current democratic governance system.

    Does Tanzania’s current democratic governance system genuinely serve the interests of its citizens and provide the best foundation for Tanzania’s future development? ======================= Motion states that “This House believes that Tanzania’s current democratic governance system is effective...
  3. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Khalifa Siwa Afariki New York, Ubalozi Watafuta Ndugu Zake

    Poleni sana, ndugu jamaa na marafiki.
  4. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Khalifa Siwa Afariki New York, Ubalozi Watafuta Ndugu Zake

    Kiranga una-altitude ya jeuri sana Mkuu. Swali huyo mpendwa alikufaje alishambuliwa... Alikatwa shingo? Ama namna nyingine.
  5. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Hivi ulishawahi kupenda mtu, mpaka ukimwona unamwogopa!

    Kiasili mimi huwa sipendi kitu chochote kinipelekeshe au kinitawale... Hivyo nilikaza fuvu hadi ile hali ikapungua, hadi hivi sasa nipo normal tu. Ile kitu ni naturally made matrix.
  6. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Hivi ulishawahi kupenda mtu, mpaka ukimwona unamwogopa!

    Kwao circumference kama ya mita 200 nilikua naiona kama kambi ya Jeshi. Ule mtaa wao nilikua nauona mzito/wamoto.
  7. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Kuna kitu katika hizi hoja... Inawezekana Rais aliwekwa kukalia kiti cha Nchi hiyo akidhani ni mapenzi ya mungu na kazi ya mola haina makosa... Asijue kumbe ni well crafted plani za aidha deep state ama wahuni... Baada ya kumalizana na mtangulizi wake. Walikua hawana muda wa kumpa semina...
  8. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Umenikumbusha kipindi cha nyuma nilikua naona live serikali ikitishiwa, inaonekana raisi alikuwa na misimamo yake na anataka kuimaterialize nchini... Ila kwa mfurulizo wa visa na matukio. Ref;2021, ajari za ndege, vimbunga mara mafuliko &tetemeko yakuimeza dar... Baadae Rais wa Nchi ile...
  9. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Hawa kidogo naweza kuwa na imani nao labda, huenda, pengine labda wanapicha ambayo mimi nimeshindwa kuiona kwaukubwa na angle wanayoiona wao... Nilishawaza hivi lakini nikaona mbona ni kama too much, na je wale wananchi wajanja wajanja watatofautisha/watathibitisha vipi kuwa hii Serikali ina...
  10. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    He kumbe...kama ni hivyo Itabidi tulete assumption nyingine kwamba; Inamaama nchi hiyo inavyombo vya usalama na ulinzi vya hovyo. Mifumo ipo corrupted kiasi hicho basi ikiendelea hivyo nchi itakua failed state. Katika upeo na Ufahamu wa juu ceiling conciousness kuwa na mlundikano wa...
  11. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Mwili, roho na nafsi... kuna maisha baada ya mwili kurejea mavumbini ulikotokea.... Roho yake itakuwa mgeni wa nani pindi itakapokutana kwa pamoja, yeye,The source na roho zawalioteseka kwa maamuzi/hekima aliyoitumia katika nafasi ya cheo chake kule duniani... Licha ya watume wa the source na...
  12. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Mimi nifikilie labda ni sawa hiyo nchi haina mbadala wake, yeye tu ndio anaeiwezea nchi, wengine wote hamna kitu na kama watapewa mzigo wake/viatu vyake basi hata mwaka haufiki Nchi inaanguka. Sawa ninakubali hoja hiyo... basi na mimi nitamuomba asing'atuke bali aendelee ila abadilike na...
  13. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Kwa mujibu wa maoni, hisia na saikolojia ya wananchi inaonesha hawakubaliani na Rais wao na serikali yake kwa namna inavyowaongoza. Sasa je kama anajua hakubaliki na asilimia kubwa ya watu wake kwanini? Hajitafakari na kuwajibika kwa dosari hiyo.!? Je yeye ndie pekee anayeweza kuongoza nchi na...
  14. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Ufunuo: Ninafadhaika Kuona kwamba Mtu mwingine anaenda kupotezwa

    Kuna uwezekano Hon resigner presidizo msaidizi, ameuawa au atauawa, kama sio basi wamuachie au watuletee atusalimie na kutuaga tumuone live hadharani. Akisipo tokea hadharani tutahesabu miezi hadi tunamsahau.
  15. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Ufunuo: Ninafadhaika Kuona kwamba Mtu mwingine anaenda kupotezwa

    Etc/nk Inaonekana anaafya njema, ni mboga saba au wakishua flani hivi au hana dhiki chakula chake hakipati kwa jasho... Wakati na-compose hii reply kuna wazo limenijia... ambalo ni wale watumishi wa dini askofu, wachungaji, manabii nao pia wasali sana.
Back
Top Bottom