Mungu ni nini?
"Cause and effect" kila kitu kinasababu... Na hicho kisababishi kiliwezekana kutokana na Free Will aliyonayo kila mtu.
Ukiachana na masuala ya dini ambayo siyo ya kutegemea kwasababu hayana uhalisia. ni utashi wa watu wa utamaduni flani na siyo wa mungu.
Na huu ulimwengu...
Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii.
Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani.
Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu...
#Collective consciousness
Naunga mkono hoja kwa dokezo/angalizo moja;
1. Haki ya kila binadamu kuamini katika imani ayayoiamini na kila mtu aheshimu Imani ya Mwezake.
=Kwahiyo jukwa liwepo ila wachangiaji wadokezewe kwamba kisheria kila mtanzania ana-haki na uhuru wa kuamini na kuabudu...
SERIKALI HAINA UHALALI WA KUSEMA CHOCHOTE.
Inachokifanya ni sawa na (Sio vibanzi bali mnatoe kope za mnaowaongoza huku ninyi mkiwa na boliti machoni).
Ni sawasawa na kulazimisha safari wakati chombo ni kibovu, chombo kiliitaji service kabla hatujaanza safari.
Changamoto inaanzia kwenye UONGOZI.
AINA YA UONGOZI NA JINSI INAVYOJIENDESHA INAPELEKEA RUSHWA KUBWA NA ILIYOKITHIRI MAMLAKANI HUKO VITU VINGI VINAGUSHIWA, AGRI INPUT(MBEGU MBOLEA TUMEPIGWA SANA), VINYWAJI, UPOTEVU WA MAPATO (TRA, BANDARI, AIRPORT, BORDER ETC).
Anajinufaisha mtu mmoja au...
Ndio maana halisi ya uraibu, ukishakuwa mraibu wa kitu huwezi kujizuia kama unavyodhani.
Watumia pombe kali wote wanajua fika kua hii kitu ni hatari na baadhi ya effect anaziona kabisa kuwa nakoelekea watakuja kunizika ila ndio hivyo tena hawezi.
Vyote vilivyo hai na visivyo hai...
Sisi binadamu ni kama bodies tu zinazopokea signal kutoka sehemu nyingine,
kama ilivyo simu kupitia signal inaweza ika-access online content zilizohifadhiwa katika servers huko (cloud) siku simu ikifa(ikaharibika) haimaanishi kwa operating system imekufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.