Recent content by Smartkahn

  1. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Je Tanzania inahitaji Chama Dola au Dola Huru?

    Nchi Iwe na serikali 5, maraisi wa 5, itakayowakilishwa na Mfalme 1.
  2. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Yanga itakua ni project ya chama cha mapinduzi ama?

    Kiujumla mifumo (MATRIX) ipo mingi katika category mbalimbali SOCCER ikiwa ni mojawapo. Soccer ni social engineering (Swarm intelligence) aliyosukwa na ma-architect ili ku-kontrol mass kwa lengo maalumu. Kwa kifupi sana michezo na burudani duniani kote inamalengo zaidi ya moja... Sasa moja ya...
  3. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Haihitaji hata sababu ni ukweli na uwazi kwamba kuna uchafu mwingi kwenye vinywaji. Mamlaka au watumishi wa mamlaka zinazodhibiti ubora wanaco-exist na wahuni kwanamna moja ama nyingine. Kwahiyo watumishi sio waadilifu hali hii inatokana na aina au nature ya uongozi uliopo Sasa. Kuna viwanda...
  4. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Shambulizi/oparesheni zito (Risasi na milipuko) kutokea

    Taarifa na tetesi za Recho Dangwa kama zinaukweli basi ufunuo huu ulikua unamuhusu yeye.
  5. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Je, akili inaweza kuudhibiti moyo?

    Ndio mkuu... zinatoka katika ubongo. OMKEIT 93
  6. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania JMT-Maboresho yanakuja-Nawaomba watu wa Rohoni tukoleze nia katika maombi na dua zute ili mabadiliko yanayokuja yawe kamili na yenye athari chanya.

    Uko sahihi mkuu hayo ni maono/ufunuo umeshushwa alfajili ya leo. Kikubwa tuombe kwa kutarajia mabadiliko kamili na yenye impact kiutawala.
  7. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania JMT-Maboresho yanakuja-Nawaomba watu wa Rohoni tukoleze nia katika maombi na dua zute ili mabadiliko yanayokuja yawe kamili na yenye athari chanya.

    Ulimwengu huu ni mkuu na mkubwa sana Lugha pekee haitoshi kuelezea mambo yote. Ukitegemea lugha pekee utakuwa umejilimit ufahamu wako na uwezo wa kutafakari mambo. Hivyo hauutumii uwezo wako wote wa ubongo.
  8. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania JMT-Maboresho yanakuja-Nawaomba watu wa Rohoni tukoleze nia katika maombi na dua zute ili mabadiliko yanayokuja yawe kamili na yenye athari chanya.

    Ngoja tuone kikubwa tuombe uzima kwani hii siku za usoni haitakua breaking news tu! Bali itaandika na kubadilisha historia na mwenendo katika jiografia ya Afrika mashaliki. Taifa litapata sura mpya.
  9. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Je, akili inaweza kuudhibiti moyo?

    Kwa muktadha wako unamaanisha nini unaposema neno "moyo na pia neno Hisia" Kwakua mkuu hou moyo unaouzungumzia hapa sio Moyo ni hisia[emotions] ambazo nazo zinazalishwa na huohuo UBONGO ukiwa katika hali fulani... Moyo tunaoujua sote kwa mujibu wa sayansi yasasa jukumu lake ni kusukuma damu...
  10. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Je kitaalam kipi kinahusika na kifo kati MOYO NA UBONGO AU ROHO NA AKILI?

    Ubongo ndio unaohusika ndio unaratibu shughuli zote za mwili. Hii ni Kitaalamu kwa maana ya sayansi inayojikita katika phenomenon za ki-physical world. Na pia hata kiroho ubongo utahusika pia kwani ninaamini kupitia ubongo center flani hivi ndio inatuunganisha na au tunapata access ya ROHO
  11. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania JMT-Maboresho yanakuja-Nawaomba watu wa Rohoni tukoleze nia katika maombi na dua zute ili mabadiliko yanayokuja yawe kamili na yenye athari chanya.

    Kutakua na matengenezo ya mashine, baada ya kukamilika wataijaribisha kwa kuitega na kutazama namna inavyopushi gurudumu linaloanzisha mzunguko (mwendo). Lakini mafundi (ndugu) hao mkubwa ndio anaepambania makanika ya ile mashine pale, wakati huyu bwana mdogo yupo bize ndani huko ni kama...
  12. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Haki, utawala bora wa sheria, kwa ustawi wa jamii...
  13. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Shambulizi/oparesheni zito (Risasi na milipuko) kutokea

    Code/msimbo huu unahitaji wenye hekima... Karibuni.
  14. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Wapi Arusha naweza kupata shamba kwa bei ya milioni moja kwa ekari?

    Ila wabongo... Jibu unalipata kwanamna ambayo huitarajii.
  15. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Kadiri mnavyoteketeza watu makini ndivyo mnavyoibua machizi na vichaa

    Huyu ashajikanyaga, maskini hajui kucheza na maneno kinafki. Anajaribu kuuvaa unafiki rakini saikolojia yake inakataa (fikra zake za ndani kuhusu hari ya nchi yake). Kwa mtu timamu kuperekeshwa kama nguruwe... Ni jambo moja gumu sana rabda uwe hujitambui(wanakutumia tu) au huna utu, haujali...
Back
Top Bottom