Recent content by Smartkahn

  1. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Je, MUNGU ni mwizi?

    Kabla haujaumiza kichwa chako inabidi ujue kua biblia na kitabu cha mafumbo... Hivyo habari zinazosimuliwa mule zina maana nyingine na sio ya moja kwa moja kama tunavyodhani. Na walioandaa mafumbo hayo ni watu tu.
  2. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yanga, Azam, Singida Black Stars na Fountain Gate Academy kuhamia ligi ya Zanzibar Muda wowote kuanzia sasa

    Inawezekana asilimia kubwa ya marefa nchini ni wafuasi wa simba kindakindaki, ama wanauhusiano wa kinyemela [wanazunguka mbuyu] na benchi la simba... Ukiachana na ubora wa Yanga simba kinachowaponza ni itikadi yao ya mbinu/figisu za hila katika mpira... Wakiacha mbinu chafuchafu wananyanyua...
  3. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata huduma ya kuzuia hamu na hisia ya tendo la ndoa?

    1.Hakuna tatizo hapo labda tatizo ulilete wewe... na suruhisho halitoki nje bali ni kufix-fikra na aina na kiwango cha lishe unayopata. 2.Hili ni tangazo sasa sijui unalenga nini?
  4. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Shambulizi/oparesheni zito (Risasi na milipuko) kutokea

    min -me Kiranga Infropreneur
  5. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Shambulizi/oparesheni zito (Risasi na milipuko) kutokea

    Watu wakiwa wanaendelea na harakati za kirasiku, sokoni wauza mbogamboga, garage fundi makanika, huku vijana wakiendelea kuchombezana. Kutatokea shambulio la kushtukiza zito, katika mahala patakatifu ni aidha Msikitini, Ikulu, kanisani, ama kumbi za maonyesho(Kambini). Wahusika ni...
  6. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Game Theory na Ufahamu(Bongo)

    Game theory; Ni mkakati maalumu wa kupata matokeo uyatakayo kwa kutumia, kufanya au kushawishi maamuzi kabambe. Mfano. mchakato wa kuwapata viongozi nani anapendekeza kuwa fulani akagombee na kwa nini? Ufahamu/conciousness; Kitu pekee cha muhimu kwa mwanadamu hapa duniani na ndio siri msingi...
  7. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Unahitaji mtaalam/mwanasaikolojia... Usimlaumu mtu yoyote wewe katika hilo wewe kubali mapungufu (changamoto ulionayo) na kama unahitaji kubadili lifestyle basi unachagua mazuri yako uliyonayo unaishonayo Hakuna cha kujutia hapo kwani ukahaba, ngono na tendo la ndoa yote ni yaleyale na...
  8. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Kwa haiba yake anaweza kuthubutu kufanya hivyo... Na kama hatafanya hivyo basi tambua kua atakuwa sio yeye bali system atakayokuwa nayo itamtaka kufanya watakayo wao kwa masrahi yao wao system na sio Nchi. Kwasababu kuna watu wameunda mtandao unaowafanya wawe attached direct or indirect katika...
  9. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Tanzania Mkuu
  10. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Sasa hapa utanisamehe bure kama sitaeleweka, logically utaona una- argue na mwendawazimu... " Katika hicho kikaango hao watu wa mihimili nyeti ni pamoja na bunge, mahakama na urais wenyewe utakuwa kikaangoni" sasa sijajua itakua ni mahakama au kikaango gani hicho.
  11. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Ni kweli katiba mpya ni muhimu sana na hasa kipindi hiki kigumu kunatupa nafasi au washawasha yakutaka katiba mpya kwa hali na mali. Nilitamani kabla ya katiba tupate AZIMIO litakalo tuandaa kwaajili ya katiba mpya huku wadau wote tukiwa na ufahamu wa pamoja.
  12. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Hii mkuu ni ufahamu tu, ni kama ufunuo ambao utakuja kudhihirika/kutokea siku za usoni huko.
  13. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Iko hivi muda si mrefu viongozi wa mihimili nyeti ya nchi watakuwa kikaangoni mmoja baada ya mwingine. Na hoja kuu itakua "Inakuwaje kiongozi mzuri na mzoefu unafumbia macho"uvunjifu wa sheria, haki za jamii huoni kama umaathiri ustawi" Watakuwa wanahojiwa kwa vitu vilivyo bayana...
  14. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini mademu wengi wazuri huwa hawana akili?

    Ok sawa, kwamba akili zipo ila hajazielekeza kwenye u-wife material. Bali kajikita kuzitumia katika fursa kulingana na potential aliyonayo ukizingatia usawa huu[zama hizi]. Cc "Huwezi mwanamke ukawa na degree 4 [upper class] alafu uishie kufua na kupika nyumbani." Ila kibongo bongo wengi wao...
  15. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini mademu wengi wazuri huwa hawana akili?

    Hili ndilo jibu mwanamke ni ngumu sana kumtia adabu(Kufunzwa na ulimwengu) kama ilivyo kwa watoto wa kiume. Hasa akiwa mzuri kiumbo ni changamoto sana, kwanza analewa sifa za mashosti na masera, Pili akijicheki kunamatumaini anayapata mtu kama huyu ataishia kwenye akili za usichana pale...
Back
Top Bottom