Recent content by Smartkahn

  1. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Mungu ni nini? "Cause and effect" kila kitu kinasababu... Na hicho kisababishi kiliwezekana kutokana na Free Will aliyonayo kila mtu. Ukiachana na masuala ya dini ambayo siyo ya kutegemea kwasababu hayana uhalisia. ni utashi wa watu wa utamaduni flani na siyo wa mungu. Na huu ulimwengu...
  2. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Kabisa Mkuu... ila spiritualism hii term bado inaukakasi, jina linatakiwa lisanifiwe katika muktaadha wa Upeo\Ufahamu\Utambuzi.
  3. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Hii itakua "nabii hakukubali kwake" Huko huko aliko apate kushauriana na wanadiplomasia wa huko arudi na suluhisho.
  4. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Asante Asante,
  5. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Ndio tunamshirikisha katika haya maridhiano tupate suruhu kwa ugwiji wake, kama anavyofahamika huko wanamuita mwanadiplomasia nguri.
  6. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    CV hii hapa
  7. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Ni muhimu sana, duniani Huko anatumika sana.
  8. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii. Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani. Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu...
  9. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    #Collective consciousness Naunga mkono hoja kwa dokezo/angalizo moja; 1. Haki ya kila binadamu kuamini katika imani ayayoiamini na kila mtu aheshimu Imani ya Mwezake. =Kwahiyo jukwa liwepo ila wachangiaji wadokezewe kwamba kisheria kila mtanzania ana-haki na uhuru wa kuamini na kuabudu...
  10. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Current regime, Sio sahihi wala haipo katika hali, mahali, na nyakati, sahihi

    SERIKALI HAINA UHALALI WA KUSEMA CHOCHOTE. Inachokifanya ni sawa na (Sio vibanzi bali mnatoe kope za mnaowaongoza huku ninyi mkiwa na boliti machoni). Ni sawasawa na kulazimisha safari wakati chombo ni kibovu, chombo kiliitaji service kabla hatujaanza safari.
  11. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania NIULIZE SWALI: Hii vita ya USA, Israel vs Iran, nani mshindi?

    Thread 'Kitakachokwenda kutokea mwaka 2026 Huu ni Ufunuo kwa Ulimwengu' Kitakachokwenda kutokea mwaka 2026 Huu ni Ufunuo kwa Ulimwengu
  12. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Changamoto inaanzia kwenye UONGOZI. AINA YA UONGOZI NA JINSI INAVYOJIENDESHA INAPELEKEA RUSHWA KUBWA NA ILIYOKITHIRI MAMLAKANI HUKO VITU VINGI VINAGUSHIWA, AGRI INPUT(MBEGU MBOLEA TUMEPIGWA SANA), VINYWAJI, UPOTEVU WA MAPATO (TRA, BANDARI, AIRPORT, BORDER ETC). Anajinufaisha mtu mmoja au...
  13. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Ndio maana halisi ya uraibu, ukishakuwa mraibu wa kitu huwezi kujizuia kama unavyodhani. Watumia pombe kali wote wanajua fika kua hii kitu ni hatari na baadhi ya effect anaziona kabisa kuwa nakoelekea watakuja kunizika ila ndio hivyo tena hawezi.
  14. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Je, kiumbe cha Kimungu kisichokufa "kinaweza kufa" kwa maana yoyote?

    Vyote vilivyo hai na visivyo hai... Sisi binadamu ni kama bodies tu zinazopokea signal kutoka sehemu nyingine, kama ilivyo simu kupitia signal inaweza ika-access online content zilizohifadhiwa katika servers huko (cloud) siku simu ikifa(ikaharibika) haimaanishi kwa operating system imekufa...
Back
Top Bottom