Gut feeling ilikuambia kabisa hutoboi... We ukaibishia,
Binafsi ma-features na ma-customization... Pia control center.
Mfano: hii iOS yenye liquid glass (control center ni🫡).
Wakuu, wote mpo sawa yeye na wewe mnachojua kitu kimoja tofauti ni lugha tu (terminology)
Tatizo amehusianisha na Imani...
Lakini nakwambia kuna nguvu ya ulimwengu aidha kwa intelligence yake au kwa kuamrishwa na walimwengu inaweza kufanya hiyo kazi kwa makusudi(intention) kwa kushirikisha...
Basi tunaweza kuhitimisha kwa kusema kwamba, Hii changamoto inasababishwa na sababu mbalimbali kama ifuatavyo;
Hizi zote ni sababu zinazopelekea tabia na vitendo vya masuala ya jensia na kila moja inachangia kwa asilimia/kiwango chake.
1) Hormonal disorder,
2)Matatizo ya akili,
3)Kurubuniwa...
Lesbian na ushoga ni kilema kama vilivyo vilema vingine.
Kinachotokea (lesbian) ni sawa sawa na wewe hapo hivyo hivyo na mihemko ya kuvutiwa na wanawake uliyonayo,(hormone za kiume) lakini ukijitizama chini unajikuta unakitumbua,
Na kwa mashoga ni hivyo hivyo ndani ana-run software ya kike...
7.USA ISRAEL HUKO MIDDLE EAST(IRANI).
MAREKANI NA ISRAEL WATAVUNA WALICHOKIPANDA,
NA WASIPOKUA MAKINI HUU MGOGORO UTAWAGHALIMU SANA...
Anaetakiwa atumie hekima hapa ni USA (aufyate) na sio IRAN kwani kwa asilimia kubwa wao wairan hawana cha kupoteza(cost wise) ukalinganisha na USA.
Mkuu mwanaume akiwa na hormonal imbalance inayohusiana na jinsia (projestorone) na akawa na hisia za kike, akibarehe anakua na mihemuko ya kike kwa wanaume kama walivyo wanawake wa kawaida tu, sasa mtu kama huyo unafikili ataishije... Atakua shoga tu labda wakampandikize hormones stahiki...za...
Hapana Mkuu siongei kwa Imani au kubahatisha hii inaushahidi kabisa na ni matatizo ya sex hormones.
Kiasili tabia za usagaji na ushoga zinasababishwa na ulemavu anaoupata mtu tokea anazaliwa, na kipindi cha kubarehe ndio anajistukia, wengine ndio wana-confirm kile walichokua wanahisi(wenye uelewa)
Aha sawa Mkuu
Kwanza kabisa yule unaedhani ana act hafanyi hivyo kwakujifanya tu bali ndio alivyo anahisia na instinct ya kufanya kile anachokifanya(sex orientation imeenda tofauti maumbile)
Lakini pia katika swali nimeona analenga wale wanaong'oa mashoga ilhali wao ni lijali na wanavutiwa na...
Mkuu ulikua umeshapevuka tayari ndio maana ulishindwa.
Wanaofanyia vetting au usaili wanalijua hilo ndio maana ukiachana na wale wanaoajiriwa jeshini kwa ajili ya professional fulani.
Hawa wengine wanachukuliwaga vijana wasiojitambua katika level flani ya utambuzi, utaona wanataka vijana...
Huwa nasikitika kuona mtu anapinga ushoga au usagaji na kushinikiza nchi isiruhusu sheria ya jinsia moja wengine wanaenda mbali wanasema wanyongwe, inasikitisha kwakweli... Yaani nisawa sawa na wewe hivyo hivyo ulivyo watu wakukataze kushiliki tendo ilihali mihemuko inakutesa na wanasema...
Cost yakupambana na malaria, itakughalimu, ukifuga samaki na mbu nao wanazaliana mazingira ya maskani,,😂😂😂
Ukifanya upembuzi yakinifu utagundua ukiachana na fursa utakutana na vikwazo lukuki,
1.Sound pollution
2.Nuksi na mapepo yatakimbilia geto kipindi waumini wanaombewa.,😁😁😁
Sasa
Sasa Utaanzishaje biashara bila research kama hii...
Itabidi iyo pond ui-design kama swimming pool msimu wa ubatizo ukipita unaitumia mwenyewe.,,😁😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.