Ningeomba pia vyama na wadau wa siasa nchini wachukue kama wazo na walifanyie kazi katika majukwaa mbalimbali ili tu kuhakikisha vijana wakeleketwa wanarumbana kwa hoja kwa mustakabali mzima wa Taifa lao.
Kwani sifia sifia na uchawa ni kuharibu potential ya vijana smart na machachari kwa kesho...
Does Tanzania’s current democratic governance system genuinely serve the interests of its citizens and provide the best foundation for Tanzania’s future development?
=======================
Motion states that “This House believes that Tanzania’s current democratic governance system is effective...
Kiasili mimi huwa sipendi kitu chochote kinipelekeshe au kinitawale...
Hivyo nilikaza fuvu hadi ile hali ikapungua, hadi hivi sasa nipo normal tu.
Ile kitu ni naturally made matrix.
Kuna kitu katika hizi hoja...
Inawezekana Rais aliwekwa kukalia kiti cha Nchi hiyo akidhani ni mapenzi ya mungu na kazi ya mola haina makosa...
Asijue kumbe ni well crafted plani za aidha deep state ama wahuni... Baada ya kumalizana na mtangulizi wake.
Walikua hawana muda wa kumpa semina...
Umenikumbusha kipindi cha nyuma nilikua naona live serikali ikitishiwa, inaonekana raisi alikuwa na misimamo yake na anataka kuimaterialize nchini... Ila kwa mfurulizo wa visa na matukio.
Ref;2021, ajari za ndege, vimbunga mara mafuliko &tetemeko yakuimeza dar...
Baadae Rais wa Nchi ile...
Hawa kidogo naweza kuwa na imani nao labda, huenda, pengine labda wanapicha ambayo mimi nimeshindwa kuiona kwaukubwa na angle wanayoiona wao...
Nilishawaza hivi lakini nikaona mbona ni kama too much, na je wale wananchi wajanja wajanja watatofautisha/watathibitisha vipi kuwa hii Serikali ina...
He kumbe...kama ni hivyo Itabidi tulete assumption nyingine kwamba; Inamaama nchi hiyo inavyombo vya usalama na ulinzi vya hovyo.
Mifumo ipo corrupted kiasi hicho basi ikiendelea hivyo nchi itakua failed state.
Katika upeo na Ufahamu wa juu ceiling conciousness kuwa na mlundikano wa...
Mwili, roho na nafsi... kuna maisha baada ya mwili kurejea mavumbini ulikotokea.... Roho yake itakuwa mgeni wa nani pindi itakapokutana kwa pamoja, yeye,The source na roho zawalioteseka kwa maamuzi/hekima aliyoitumia katika nafasi ya cheo chake kule duniani...
Licha ya watume wa the source na...
Mimi nifikilie labda ni sawa hiyo nchi haina mbadala wake, yeye tu ndio anaeiwezea nchi, wengine wote hamna kitu na kama watapewa mzigo wake/viatu vyake basi hata mwaka haufiki Nchi inaanguka.
Sawa ninakubali hoja hiyo... basi na mimi nitamuomba asing'atuke bali aendelee ila abadilike na...
Kwa mujibu wa maoni, hisia na saikolojia ya wananchi inaonesha hawakubaliani na Rais wao na serikali yake kwa namna inavyowaongoza.
Sasa je kama anajua hakubaliki na asilimia kubwa ya watu wake kwanini? Hajitafakari na kuwajibika kwa dosari hiyo.!?
Je yeye ndie pekee anayeweza kuongoza nchi na...
Kuna uwezekano Hon resigner presidizo msaidizi, ameuawa au atauawa, kama sio basi wamuachie au watuletee atusalimie na kutuaga tumuone live hadharani.
Akisipo tokea hadharani tutahesabu miezi hadi tunamsahau.
Etc/nk
Inaonekana anaafya njema, ni mboga saba au wakishua flani hivi au hana dhiki chakula chake hakipati kwa jasho...
Wakati na-compose hii reply kuna wazo limenijia... ambalo ni wale watumishi wa dini askofu, wachungaji, manabii nao pia wasali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.