Recent content by smailee

  1. smailee

    Diamond laana hiyo!

    Nikweli baba yake Abdul mgonjwa ila ngoswe mwachie ngoswe
  2. smailee

    Maalumu kwa watu wazima tu!!

    Ulichokisema kaka ni kweli kabisaaa bila hisia hakuna penzi
  3. smailee

    Msajili wa vyama vya Siasa Jaji F. Mutungi amzuia Mbowe kugombea uenyekiti tena

    Siasa mchezo mchezo mchafu sana, sasa mh. MBOWE uwenyekiti wa kudumu katika shame duuh!! Hiii ni hatari sana vipi kama utapewa nchi si ndo utawala wa kifalme kabisa, mi nadhani muda mwingne viongozi wawe na busara waachie ngazi hatimae washike wangine nao tuoone uongozi wao. Ni hayo tu na pia...
  4. smailee

    Rais akiwa foleni kutaka kumuona daktari

    Huooooo ndio uzalendo wa kweli ungekuwa bongo muuuuhhh tungesemaaa anataka kuraa!!!!
  5. smailee

    Anguko la Diamond Platinumz kimziki

    Hah ah ahahhaa kakaka kijana yuko juuu ileeee mbyaaaaaa
  6. smailee

    Kingsley Ugiagble,muuaji hatari anayelindwa na ikulu ya Tanzania

    Serikali iko wapi na jeee huyoo mtuu anajiamini nini na basi wasihangaikee na mabodaboda wa jiji, wakamkamate jambanzi huyuuu!!!
  7. smailee

    Jaji Werema adaiwa kumtishia kifo Kafulila bungeni Dodoma

    Pamoja na sheria zote kuwa kichwani mwake makini bado tuu anatumia ubavu duuuuh!! Kweli akili ni nywele kila mtu anazake Werema waenda wapi siasa imekushindaa??
  8. smailee

    Ukiwa na mpenzi mwenye haiba hii, kujenga uhusiano imara ni mashaka

    Ni kweli kabila wao hujiona kwakua wana elimu basi hawawezi kosea
  9. smailee

    Ukiwa na mpenzi mwenye haiba hii, kujenga uhusiano imara ni mashaka

    Siku zote kuwa kuwa binadamu hukosea ndipo utajifunza kusamehee navkuomba msamahaa!!
  10. smailee

    Hivi Watanzania nani atatukomboa?

    Bado shaka na hvi vyama vyote vya siasa maaana shame kikisimama imara tayari mdudu wa furugu anaingia daaah!! Tanzania chungu cha majungu na fitina kweli nani alale njaa ili amuokoe mwenzake?? Jibu ni hakuna tutabaki hapa hapa !!!
  11. smailee

    Waziri Saada Salum Mkuya ashindwa kujibu hoja za kamati.! Alia kama mtoto.!

    Hakuna cha maaana madaraka ya kupeana ndio hayaa jmniiiiiii na hiii ndio ile kaúli ya kwamba "ukoloni mambo leo umetupa uhuru wa bendera tuone kufuru za wenye hera " ndo hiiiiiii
  12. smailee

    Miss Neddy- Nimekubamba sijakubamba....?

    Sasa unaaangalia nini chini hahahahahahah
  13. smailee

    Miss Neddy- Nimekubamba sijakubamba....?

    Duuuuuh balaaaaaa kabisaaaaa
Back
Top Bottom