Ingine ya kuitarajia ni pale kutoka msolwa kuja mdaula darajani pale wanapoosha vijana magari Kama unakuja mdaula mkono wa kushoto pale kuna handaki moja hatari,na juzi fulani nilikuta roli lililokua limepakia rami limeanguka pale,na leo mi kdg linitoe nje ya barabara lile handaki
nimeona nichangie nami hapa,mi ni dereva wa roli japo kazi ya basi pia nimeifanya.na nimengia dar Jana usiku nikitokea kamoto kolwezi huko nchini DRC,hivyo juzi nimeshuka kitonga,sasa ni hv,dereva anaeendesha basis anaposhuka kitonga au mteremko mkali kwa speed kinachomdanganya ni wepesi was...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.