Dah! Huku Ikwiriri ni maumivu tu majina mengi ya wakulima wa korosho hayakutumwa kwa ajili ya malipo .
Matokeo yake hata kumi hatujapata hadi sasa.
Viongozi wa chama cha ushirika na masoko Ikwiriri wanatuzungusha tu kwa majibu mepesi.
Tumepeleka shauri letu TAKUKURU makao makuu ya wilaya napo...
We mama muogope Mungu
Sogea tu hapo Mkuranga,Kibiti,Ikwilili halafu uongee hizo kauli zako za dharau juu ya wasiolipwa pesa zao uone kama utabaki salama.
Watu hawajui hatima ya mashamba,sio palizi sio dawa vyote ni mtihani kwao na muda ndio huu umewadia.
Unapotetea jambo liweke katika muktadha...
Ni vizuri mkachukua hata hicho kidogo,kuna wenzenu huku wameshapata magonjwa ya moyo na kisukari na wengine tumeshazika sababu ya kupigwa za uso kwenye korosho.
Kibiti wametakiwa kutoa shilingi 20 kwa kila kilo moja ya korosho ambazo wakulima wamepeleka kupitia vyama vyao vya msingi kwa ajili ya kuzisafirisha kwenda Dar.
Haya ni mateso kwa mkulima wa korosho ambaye hajui kesho atakula nini lakini bado anachangishwa hela ya kusafirisha korosho.
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.