Recent content by slimdr

  1. S

    Adam Malima - Kiongozi kijana aliyetoweka akiwa bado anahitajika

    Hivi na malima kweli ni mtu wa kufikirika??? Kwa lipi pale wizarani achilia mbali upoyevi mkubwa wa kodi zetu na madudu yake ya kuibiwa ak47 hotelini na vimwana??? Tujadili mambo ya msingi
  2. S

    Serikali yapiga marufuku matangazo ya tiba za asili na tiba mbadala

    Kipindi cha jk wapiga ramli waliongezeka coz hakukuwa na watu stahiki, sasa mwisho wa ujanja ujanja mjini...hongera wizara.
  3. S

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Tupeni cv ya huyu mama wengibe tunamsikia tu.
  4. S

    Acheni serikali ishugulike na dk Mwaka.!

    Kula tano mkuu..wenye fani zao wapo wanakuja matapeli kina mwaka wanavuna mamilioni kwa masikini...nilishapost hapa siku za nyuma kwamba zama za ujanja ujanja na utapeli zimefikia tamati sasa, kwa aina ya serikali ya jpm bila kueleweka utaomba nauli ya kurudi kijijini
  5. S

    Ili uitwe Daktari nchi za wenzetu: Steps to become a Medical Doctor in the USA (Dr. Mwaka?)

    Mwaka apumzishwe pamojana matapeli wenzakekama sigwa clinic, wanadanganya watu mchana kweupe. Hizo dawa za mwaka hazijawahi kuthibitishwa na tfda, pia anavaa stethescope na kutumia vitabu vya gynaecology kujitangaza na hajawahi kuingia medical school ajue art ya stethescope. its pathetic kwa...
  6. S

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza kwa Dr. Mwaka

    Mwaka ni wa kufungiwa tu, anavaa stethescope hata heart sounds hajui zikoje, nilimsikia siku moja akisema wanawake wanaovaa high heeels zinasababisha kizazi kugeuka na hivyo hawatapata ujauzito nikamshangaa hata anatomy ya cervix na uterus haijui na wananchi wanamezeshwa matango pori huku wizara...
  7. S

    Israel airforce vs Iran airforce, who has the strongest army?

    Saudi arabia wao wameuziwa vifaa vingi na marekani lakini hawana jeshi bora kama Iran, na pia kwa maana ya uvumilivu na saudia bafo kwa Iran
  8. S

    Magufuli..mwisho wa ujanja na misheni town

    Hali mbaya mkuu kwa wale wajanja wajanja na mabishoo misheni town kushneeee
  9. S

    Uongizi wa Kikwete utaweka histotia ya ufisadi

    Kwa kipindi cha mwezi mmoja tu tumejionea na kusikia tuhuma lukuki za viongozi wateule wa jk kuhusishwa na rushwa, kuanzia bandarini, Tra, uda, escrow na sasa stanbic na huyu harry kitilya kamishana mkuu mstaafu wa tra wa dola mil 6 za udalali wa mkopo kwa serikali ya tz? tutarajie nn huko...
  10. S

    India-Tanzania Trade reaches US$2.5bn in eight months

    Kama hiyo trade pia inahusisha ununuzi wa magari ya washawasha basi tumeliwa
  11. S

    Magufuli..mwisho wa ujanja na misheni town

    Tangu JPM aingie madarakani mengi tumeyasikia, ila kwa wale wajanja wajanja misheni town na wapiga dili mjini sasa watatafuta njia ya kirudi kijijini wenyewe. Yale mazoea kwa jk sasa yanaelekea kwisha kabisa.
  12. S

    Magufuli na safari za Nje..

    Wadau naomba kujuzwa kama agizo la magufuli la kukataza safari za nje za watumishi wa umma kama pia linawahusu wabunge.
  13. S

    Waandishi wa habari saidieni watanzania kuelewa tatizo la sekta ya afya Tanzania

    Tatizo kubwa ni kwamba hatuelezi ukweli ila siasa zinechukua nafasi....serikali haitoi pesa kwa wakati kwa hospitali zake so haziwezi kujiendesha vizuri
  14. S

    Busara zangu tu: Samwel Sitta pumzika!

    Huyu mzee amekuwepo serikalini tangu Nyerere. Apumzike sasa abaki na heshima yake kwa jamii
Back
Top Bottom