Habar zenu wadau
Wapi nitapata hizo mbegu au miche ya mchongoma kwa ajili ya kupanda kwenye kiwanja changu nataka niweke fance ya mti iyo iwe kama bustani kiwanja kimeshaanza msingi nataka ata nikihamia iwe tayar iyo bustan imeshakuwa kubwa.
Mnisamehe kwa uwandishi mbovu sio mzuri sana wa...
Kama umesharidhika na nafas uliyonayo sio mbaya kuanika life style yako ila kama ni mtu ambae hujaridhika na nafas uliyonayo inahitajika uishi maisha ya private ili ufikiriwe na hao watu wa kitengo hawamo umo maofisi kwa ajili ya kuchunga tabia za watu wamo kwa ajili ya kuchunguz nan anafaa...
Kwanza kila ofisi wanakuwa wamo kwa kazi maalum pia unatakiwa maisha yako yawe private unapofanya mambo kwa kujichoresha inakufanya hata usifikiriwe kbs kweny uteuzi wa apo ofisin kwenu coz tyr wanakua wanajua life style yako kuna watu wanakosa teuzi coz wanajulikan ni wazinzi ama walevi N.K...
Ajaribu kutumia dawa za mitishamba kwa watu tofaut huenda akafanikiwa. Kuna mtu namjua amesaidika na izo izo dawa za mitishamba uzur alifanya vipimo hospt akapat majib na alipoenda kufanyiwa dawa za mitishamba aliambiwa ana shida ile ile aliyoambiwa hospt kuna watu hawabahatishi kaz zao...
Kwenye Interview ukifika utapewa tablet yenye mfumo wa sensa itakuta ujaze kwenye uwo mfumo utanza majina yako kwa heruf kubwa na utapewa dakik zisizozidi 2 Maswal utayokutana nayo ni kama vile :~
Nini maana ya sensa ?
Sensa ina umuhim gan?
Sensa ya mwish ilifanyika mwaka gan?
Bila kusahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.