kwenye hizi good samaritan kuna kifaa chao cha kushika mkononi wanadai kinapima mwili mzima kitu ambacho hakipo duniani kinachoshangaza wadau wameteka sawa wazazi wetu wanawazungusha kwa magonjwa wasiyoweza kutibu kuja kwenda hospitali ugonjwa ushafika kwenye terminal stage
hawa wahuni nakumbuka nlpokuwa form six bukoba miaka hiyo nkatembelea samaritan kutibiwa nliishia kushikishwa kifaa mkonon eti kinapima magonjwa yote nkaishia kuambiwa nna vidonda vya tumbo nkapewa majivu eti niwe nachanganya na maji nlivorudi nyumban bi mkubwa akanikataza lakin hadi leo sina...
Wakuu mimi ni 26 Me, mzaliwa wa kanda ya ziwa, taaluma yangu Medical doctor degree, nimeletwa na mambo mawili;
Kwanza
Naota nakula sana mara nyingi ni wali na matunda na muda mwingine unajaribu kukataa kabisa ila kuna mtu anakubembeleza. Hii ya leo nimeenda sokoni nikakuta matunda mfano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.