Recent content by slaymnguzo

  1. S

    Kwanini Lema,Mnyika na Issa mliogopa kuendesha vikao vya ndani mbele ya Said Arfi?

    wewe ndio mnafiki na kibaraka wa lema chama mmegeuza saccos
  2. S

    Majambazi yateka Malori matatu Nzega, madereva waumizwa!

    inasemekana alietobolewa macho ni mnyarwanda...alifariki baadae baada ya kukosa matibabu kwa muda muafaka...mwingine alikatwa mguu...
  3. S

    Hongera Kamanda Mbowe!!

    hastaili pongezi yoote
  4. S

    Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

    wewe ndio unajua mambo binafsi ni mwanvuli wa kumkinga bwana wenu clinton alipata kashfa ya kutembea na sekretari wake kulingana na hadhi yake aliponea chupuchupu ang'olewe kiongozi ni kioo aijalishi kafanya nini nje ya ofisi,kukatisha ziara ya mbunge kiwa ziara ya kazi na kumwita wajumuike kwa...
  5. S

    UFAFANUZI: Kesi ya Zitto vs CHADEMA haijaisha mahakama kuu

    Pole yeriko kwanini ztt asingeitwa kuchukua faili lake?inaonekana nia ilikua asipee ili akose nguvu ya kukata rufaa na slaa si ataki kuitisha barza kuu?kwa sasa mnajikosha
  6. S

    Wafuasi wa zitto na mbowe kahama nusura wazichape baada ya hukumu ya mahakama kuu

    zitto ni taasisi wanafaya mkosa makubwa kumchukulia kama mtu mmoja na kuchukua maamuzi ya hovyo kama anataka kukigawa chama wamfukuze ndio utakua mwamzo wa mwisho wa chama imara cha upinzani
  7. S

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Unakosea sana kumlinganisha zitt nzt na shonza na mwampamba zito ni ubavu cdm,mnasema alikuwa wapi kutoa shutuma zidi ya ufisadi wa mbowe lia hamuhoji tundu alikua wapi hadi jana aliporusha kombora kwa zitto kuwa kahongwa magari na mkono?zitt asingesema hadi kachokonolewa ss tunajua pumba na...
  8. S

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    zitto hamumuwezi hakutaka kuyaanika machafu ya mbowe,slaa alikua anawahehim sasa wao kupitia mawakala njaa,tundu wanamchafua ili anuke vipi yeye asijibu?tena wakamilishe kumfukuza atatoa mengi zaidi ambayo mtashangaa
  9. S

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    u ujasiri anapata toka kwa baba mkwe Mtei,chama ni mali yao na wanahatimiliki na cdm
  10. S

    Simple Research: Zitto Mwanasiasa aliyetajwa zaidi Oct-Dec 2013

    Hata mtume mohamad SAW hutajwa ktk swala 5 kila siku na ktk maeneo tofauti masokoni hosp na makazini
  11. S

    Baada ya kuwajibishwa, dk. Nchimbi na Kagasheki kurudi tena barazani!!

    Acha mawazo pumba ww unauwezo gani apo ulipo umewahi ata kuongoza familia acha sherehe?acha dharau kwa viongozi hasa mkuu wa nchi
  12. S

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    huo ni mtazamo wako finyu zitto hamalizwi na chuki zenu kwani cdm ni mali ya mtu?msifanye chama kama kampuni yenu
  13. S

    Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Zitto hatoki chm na atakua mtu wa mwisho kutoka cdm
Back
Top Bottom