shirika la fedha duniani (IMF) "tutaipatia Tanzania million500 ikikamilisha masharti ya corona, lock down, takwimu , pamoja na chanjo.
Viongozi wa Afrika wame kuwa vigeugeu baada ya kutuaminisha kupiga nyungu.
Tena RAISI SAMIA, alikuwa akisisitiza mabeberu wanataka kutuuwa na tukaishi bila...
Wote tunapenda afya njema, Amani na upendo pamoja na Uhuru wa kujieleza.
Ndani ya Serikali, awamu ya tano wote tulikubaliana kuwa tutaishi na corona, kama magonjwa mengine. Kwamba atujui hili gonjwa litaisha lini na viongozi mbali mbali walikua mstari wa mbele kutuaminisha kwamba tumeishinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.