#COVID19 Corona, viongozi wa Afrika na washirika wake WHO

Skylee

Member
Jul 31, 2021
9
20
shirika la fedha duniani (IMF) "tutaipatia Tanzania million500 ikikamilisha masharti ya corona, lock down, takwimu , pamoja na chanjo.

Viongozi wa Afrika wame kuwa vigeugeu baada ya kutuaminisha kupiga nyungu.

Tena RAISI SAMIA, alikuwa akisisitiza mabeberu wanataka kutuuwa na tukaishi bila shida yoyote.

Hayati magufuri, akitumia muda wa kuwaweka lockdown Watanzania Kujenga miradi, ufufuaji wa viwanda pamoja na kutembelea wananchi wake akitusisitiza kwa Upendo ndugu zangu tumuombeni MUNGU.

Rais wa marekani trump,"siwapendi watu weusi kwa sababu ukimpa hela yupo tayari kumtoa uhai mwenzake".
Haya ndiyo tunayo yashuhudia Tanzania, wale walio kuwa wana tusisitiza juu ya kumuomba MUNGU, loe wanasema masharti ya corona ndiyo mazuri.

madhara ya masharti ya corona, kodi kubwa,Uchumi kushuka, njaa, kukosa elimu, ongezeko la deni la taifa, mikopo.

Hayati Magufuli, " NIME JITOA MAISHA YANGU KWAAJIRI YA WATANZANIA MASKINI".
Sikatai chanjo heti kwa sababu, imetoka kwa beberu nakataa kwa sababu aina msaada wowote.

Akuna chanjo ya muda mfupi, atujui utapatwa madhara gani baada ya kuchanjwa pengine ni baada ya miaka mitano.

Watanzani, wenzangu najua nyinyi ni waelewa sana, Leo mnasikia tetesi za maraisi wa Africa walio kuwa wakipingana vikali na WHO,wamenusurika kuuawa.

Watanzania wenzangu uhai wako unatafutwa uangamizwe kama mamba afanyavyo mawindo baharini corona haita isha Leo wala kesho Tusimameni na MUNGU.

FB_IMG_16278588160857387.jpg
 
Back
Top Bottom