Mshana umenikumbusha mbali sana mwaka 1996 mi nilikuwa mmoja Wa shabiki mkubwa sana Wa marehemu 2pac yani tukio la lisu na 2pac yamefanana ukiangalia matundu ya risasi kwenye gari la lisu na 2pac ni sawa sawa ni ngumu kupona ila kiukweli lisu mungu alimuwekea mkono ningumu kuamini kama mtu...
Ulichokiandika hakina mashiko yoyote jaribu kutunga story nyingine mpendwa jaribu kufanya utafiti riport zote mboe aliuthuria alafu uje hapa ukanushe ulichokiandika
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni upumbavu nyie watu walichokisema ndoicho mlichokiandika au mnataka kupotosha umaa wangekuwa hawaamini madaktari wapa tokea siku ya tukio wasingekubali apewe huduma ya kwanza na madaktari wahapa wamefanya ivyo ilikumuacha apumzike na kupunguza idadi ya watu watakaotaka kumuona maana hata...
Inategemea jamani mbona 2pac alipigwa risasi nane alafu ukiangalia tukio ni kama hilo lakini sugar night hakupata risasi hata moja na walikuwa wawili
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafki sio mzuri kiongozi ukweli mchungu lazma ujaribu kuutema tu lakini fundo hata moja utalimeza naona umekunja sura kweli kweli polee sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajaribu kuhamasisha watu wasichangie kwataarifa yenu tutachanga tu hata zikiliwa sio tatizo na wala haituumi tumeamua kuchanga wenyewe kwa hiari yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Msitufanye hatuna akili eti watanzania wanaiusisha chadema na matukio sema sisi ccm tunaeneza proganda chafu kuihusisha chadema na huo ujinga na uwongezee ccm tuna waaminisha watu uwongo ilichadema kionekane chama cha wauaji na watekaji alafu ulivyo huna akili unasahau baathi ya matukio...
Unajiskiaje kutunga habari za uwongo tuna jua lengo lenu hampendi kuskia ukweli mpotayari hata kumwaga damu mlivyotega bomu kwenye zile ofisi za mawakiki na kuteka walinzi pia walikuwa ni hao wazungu Wa migodini?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.