Recent content by skorokoro

  1. S

    Siri ya Mkono wa Kushoto ni nini? Ni Mkono wa Shetani kweli?

    Kuna uhusiano wowote na south pole na north pole? Unakijua kinyamkela huwa kinazunguuka kutoka upande gani kuelekea upande gani?
  2. S

    Siri ya Mkono wa Kushoto ni nini? Ni Mkono wa Shetani kweli?

    Kuna uhusiano wowote na south pole na north pole? Unakijua kinyamkela, huwa kinazunguuka kutoka upande gani kuelekea upande gani?
  3. S

    Siri ya Mkono wa Kushoto ni nini? Ni Mkono wa Shetani kweli?

    Vijiweni wanasema kulia ni chanya na kushoto ni hasi, hebu wasomi mtujuze je hayo yasemwayo vijiweni yamo kwenye vitabu huko mashuleni?ati ndio maana moyo wa binaadam uko upande wa kushoto!
  4. S

    Ni wakati muafaka sasa wa kufikiria kuihamisha Ikulu ya Dar es Salaam eneo lingine!

    Mwalimu Nyerere hakujenga hio ikulu.rekebisha hapo.
  5. S

    Siwezi kwenda msibani na ndevu

    Nimecheka saaaaaana.aiseeee.vijana mna taabu sana nyieee.
  6. S

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Mashoga na Machangudoa wenye digrii wao akili zao zimevaa nini?
  7. S

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Na wale machangudoa na mashoga wenye madigrii kumikumi wao wana nini vichwani? Hawako uchi vichwani mwao? Huyo alieishia form 4 ameajiri wasomi watatu, hao wenye madigrii wamekua mashoga na machangudoa.wepi wanahitaji maombezi ya mlima wa moto?
  8. S

    Atakayefanikisha kupata kazi, nitampatia mshahara wote wa mwezi kabla ya kuanza kazi.

    Safari ya kilometa elfu moja huanza na hatua moja mbele, kwa uamuzi wako huo hautajuta.mafanikio huenda kwa majasiri wenye uthubutu.
  9. S

    Atakayefanikisha kupata kazi, nitampatia mshahara wote wa mwezi kabla ya kuanza kazi.

    Na unapojiajiri kwa dhati, unaweza ukapata mafanikio mazuri ikapelekea wewe kuajiri watu wenye taaluma zao kuja kukufanyia kazi zako.Hio ndio inaitwa kuelimika.sio hayo makaratasi unayozunguuka nayo.si unajua kisa alichokutananacho founder wa whatsapp alipoenda kuomba kazi facebook? CHAKARIKA.
  10. S

    Magufuli ataiweza vita dhidi ya Karimjee Jivanjee Family?

    See Mashangingi yatanunuliwa tu.huyo Magufuli kaingia ikulu kuna mambo baada kuingia ndio katambua kumbe kuna mengine hayagusiki, mpeni muda muombe uhai tu mtayaona.mnazijua kura tatu kabla kupewa uhuru ziliwashirikisha akina nani hapa Tanganyika? Na uhuru huwa hupewi unaupigania.jiulizeni...
  11. S

    Unampokeaje nduguyo aliyemaliza kifungo cha muda mrefu?

    Inategemea kesi iliyompeleka jela.kama alitenda kosa kweli au alisingiziwa.hivyo ushauri wangu unaegemea hapo, kwanza nijue kabla ya kwenda jela alikua mtu wa namna gani,yaani tabia na mienendo yake ni muhimu ili ujue ushauri gani unampa na yeye ni mtu aina gani.isije kuwa unamsifia shehe, utamu...
  12. S

    Je!! Wafahamu chimbuko ya lugha ya kiswahili afrika mashariki.

    Ktk mada yako hii uliyoileta hapa majilisi.hesabu maneno mangapi umetumia yenye asili ya kicongo, kibantu au kiarabu na kwa nini kila sentensi moja au mbili haitakamilika bila kutumia neno lenye asili ya lugha hio, utakua umepata jibu ni lugha gani imeleta kiswahili.
  13. S

    Mkuu wa Wilaya awasweka rumande Maofisa Ardhi na Mipango Miji Kinondoni

    Hio kesho hao maafisa wakiamka na malaria kwa sababu ya mmbu wa selo na wakaomba kupelekwa hospital cjui ndio huo mkutano utaahirishwa mpaka lini? Atakua amemaliza tatizo au ndio atakua amelizidisha? Wakitoka hospital na mapumziko ya ugonjwa ni haki yao.naona huo mkutano wake utafanyika baada ya...
  14. S

    Mwenye wasifu wa Musa Ntimizi, mbunge wa Tabora Kaskazini

    Bunduki bila risasiii yaua namna gani?
Back
Top Bottom