Habari wanaJF,
Natafuta camera yenye at least 30x optical zoom na 20mp. Iwe na rechargable battery.
Ni maduka gani kwa dar es salaam ambayo yanabei nzuri na camera nyingi ili iwe rahisi kuchagua?
Habari za leo wanaJF,
Ningependa kujua bei ya iphone 4, 4s na 5 kwa tanzania. Nahitaji kujua bei zake zikiwa mpya na used in a good condition.
asanteni
Habari za kwenu,
Naombeni kujua ni vyuo gani vizuri marekani (sio lazima viwe on top) katika kufundisha mambo ya networking and information security kwa level ya masters. Pia viwe kati ya vyuo vyenye bei nafuu sana ndani ya marekani katika hizo course.
Ningependa kujua pia kama wanatoa...
habari za kwenu wanaJF,
Naombeni mnisaidie kujua ni jinsi gani nitaweza ku-uninstall program yangu kwenye windows7 ambayo iko password protected. Program niliyonayo ninayotaka kuitoa inaitwa "USB Block" niliinstall zamani kidogo ili kuitest nikaiwekea na password..sasa kwakuwa siitumii nataka...
habari zenu wakuu,
naombeni mnijuze bei ya iphone 4 used na brand new kwa hapa dar..
pia naomba mnieleze wapi naweza kuzipata kwa bei nafuu (used and brand new)..
natanguliza shukrani
Habari za kwenu,
Naombeni kujua ni vyuo gani vizuri marekani (sio lazima viwe on top) katika kufundisha mambo ya networking and information security kwa level ya masters. Pia viwe kati ya vyuo vyenye bei nafuu sana ndani ya marekani katika hizo course.
Ningependa kujua pia kama wanatoa...
Naomba nieleweshwe kuhusu haya mambo nitakayoorodhesha hapa..
1.basi la kabang
2.basi la kijani
3.tabsamu
4.basi jekundu
sielewi haya mabasi ni nini?...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.