Ulichoeleza ni sahihi kabisa, profesa hakustahili kuchangiwa pesa za matibu labda maombi. Hiki kitendo kime prove uwezo mdogo wa watz kufikiri, wengi wanafuata mkumbo bila tafakari wapo wanaostahili kichangiwa sababu ni wahitaji lakini siyo profesa kwa kuzingati wadhifu wake wa karibu na kipato...
We nimwogo haijawahi kutokea hata shetani ameogopa nimeangalia vizuri hizi sherehe hii picha sio ya leo kiwanja cha dodoma hakikuwa na nyasi za kijani kiasi hicho kulikuwa na nyasi zilizokauka na vipara vingi sana mwisho idadi ya watu hawakuwa wengi kiasi hicho nashauri huu uzi ufutiliwe mbali
Kuna ukweli juu ya usaliti wa zitto kwa mwenendo anaendelea nao wa kupita maeneo waliyopita viongozi wake lengo nini? ni kubomoa chama kwa kuendeleza malumbano kwa faida ya nani ....?ccm. ndo wafadhili wa mikutano yake na ndiyo wanaomba cdm ife wanatangaza tarehe ya cdm kufa kila leo wenye...
Kuna ukweli kuhusiana na mali hizo ndio maana kuna vikwazo vingi kuzipata ikiwemo hiyo ya nguvu za giza ila ni bora kukaa mbali kabisa na issue hizo wengi wamefirisika kwa kutafuta mali hizo siyo kazi rahisi, achilia mbali kufirisika unazeeka unafuta bila mafanikio.
Leo nimegundua kwanini tanzania ni nchi maskini yenye rasilimali nyingi kupitia mdaharo huu watanzania tunatofautiana sana uwezo wa kuelewa na kufikiri mambo sijui sababu ya makabila mengi.
Kweli mkuu watu wa dar noma wanajifanya wako faster anaweza kukuita bar akakuagizia chakula na kinywaji na yeye na rafiki zake akawaagiazia maneno mengi mwisho wa siku anaelekeza bill ije kwako jamaa noma sana hawana maana kabisa
Nani alienda bank akanyimwa pesa zake sababu ya hizo 7 bil zilizoibiwa mambo mengine kama hujui ni bora kuuliza hela zingine za banki zina bima... Unajua kama hizo hazikuwa na bima.
Bank kuu ndiyo yenye wajibu wa kusema hayo na baada ya kufanya uchunguzi wa financial status ya taasisi husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.