Recent content by Sizzla

  1. S

    Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

    Tabu watu wanaosema hotuba mbaya wanataka kuchafua nchi tu sasa mnataka angeenda anza kutoa namba za gerezani wapewe wezi wa EPA. Hizo hela mmeshaambiwa sio za serikali, Serikali zimeziweka chini yake sasa hivi. Hizo hela hata watu wa JF mngeweza kuzipata mkengiztaka Kikwete kawanyamazisha...
  2. S

    Buriani Amina Chifupa!

    Daa mungu aiweke roho ya dada yetu mahali pema. Mimi nachotaka ni baba yake awe na moyo wa kujiamini aseme yale ambayo amina alikuwa anataka kusema akamkataza. Bongo naona kunawatu wanajidai ma mafia usiseme ama utaumia na hii tumeona kama mfano mwingine. Lakini hii gang mimi ntaimaliza...
  3. S

    Mkapa above the law?: Allegations

    Watanzania aisee hoja simtetei mtu hapa huu ni ukweli tu Unajua watanzania wanatatizo moja hawapendi kumuona mtu akifanikiwa mfano BM hata kama kaiba lakini kafanikiwa, anatoa misaada mbali mbali kajiusisha kwenye mambo ya ukimwi na kadhiliki kiufupi pesa ipo. Ingekuwa mkapa katoka kama Dr Omar...
  4. S

    Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

    hahahah aisee hii tamu sana CCM 0 Chadema 1. Chifupa inaelekea kutoa game hana noma wacha na mimi nitafute ubunge wa songea mjini labda ntazimpompa pompa bi amina
Back
Top Bottom