Recent content by Sixty

  1. S

    Taarifa: Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 kwa Walimu na Watumishi wa Umma

    Umeelewa nlichokoment na maana yake au umeuliza tu
  2. S

    Taarifa: Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 kwa Walimu na Watumishi wa Umma

    Tufike mahali tuache unyanyasaji na udhalilishaji kwa walimu
  3. S

    Samweli Sitta ni Mgonjwa

    Diana hivi Baba aliwahi kukuambia ule mchakato wa katiba ulikuwaje?
  4. S

    Wizara ya Elimu yawaasa vijana kutumia Elimu kujiajiri

    Kwenye kampeni mnasema mtaajiri mkishaingia madarakani mnatuambia tutafute ajira ..............hii sio sawa mi naomba tukutane next election
  5. S

    Mbowe ulipofikia lazima uachane na siasa za ushindani; Hausafishiki!

    Hana wa kumtuma huyu anabwabwaja tu
  6. S

    Kikwete kweli alikuwa wa Kimataifa: Umuhimu wa Lugha ya Kiingereza

    Hapana mi nadhani ni Kuwait Sent from my Ultra using JamiiForums mobile app
  7. S

    Utafiti Mpya: Magufuli asilimia 89, Jakaya wa Pili, Lowassa umaarufu washuka

    Habari Leo inamilikiwa na nani? Halafu wewe unaewaita wapinzani nyumba na kwamba wamebanwa eti hawana pakutokea......hujitambui na hujui maisha Hama kwanza kwa wazazi unakokula Bure ndo utaweza kuandika point
  8. S

    Kanali Lubinga: Mwandishi habari ya kuibiwa Kifaru atasimulia tumemshughulikiaje, ukatili hauepukiki

    Kama ni kosa kisheria waache mahakamà ifanye kazi yake......sidhani Kama mnaounga mkono mko sawa.
Back
Top Bottom