Kwa ninavo jua mm zote bado n tumain though majina yamebadilishwa kama vile iringa UN na tumain mbeya instead of tumain iringa and makumira mbeya respectively. ..ivo yaaan
Akuna kitu kama io..watu kudisco kisa kumis orientation koz...mjue watu atuna hela cc atuji ad tupate uhakika..ada unaweza kuwa nayo ila pesa ya kujikimu ndio nying zaid.so mwaka uu kuna hatar ya kukosa wanafunz kama vp
Duhhhhh nilijua n mm peek angu ndo nimeachwa japo Nina 2 yangu ya 11. Cha ajabu sasa,, mtu Mara ya kwanza kakoswa Chuo kaomba second na udzm akuijaza Mara ya pili lkn kachaguliwa apo apo .sasa tcu izo c ndo nafas za wengne jaman .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.