Recent content by sixmunund

  1. S

    Waliochaguliwa Tumaini University-Mbeya Tukutane Hapa

    Kwa ninavo jua mm zote bado n tumain though majina yamebadilishwa kama vile iringa UN na tumain mbeya instead of tumain iringa and makumira mbeya respectively. ..ivo yaaan
  2. S

    Tuache kuitupia Serikali lawama dhidi ya wanafunzi waliokosa mikopo

    Sasa nn io,,, comment au...??? ,,co kosa lako lkn itakuwa njaa io
  3. S

    Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

    Ila bado n 25000 tu watakaopata uo mkopo ko 66000 n bilabila
  4. S

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    25 ad 22 unataka mwarabu nn mbna kinyume kinyume
  5. S

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kulekea vyuo vikuu 2016/17

    Akuna kitu kama io..watu kudisco kisa kumis orientation koz...mjue watu atuna hela cc atuji ad tupate uhakika..ada unaweza kuwa nayo ila pesa ya kujikimu ndio nying zaid.so mwaka uu kuna hatar ya kukosa wanafunz kama vp
  6. S

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Acha zarau Brooo. ..maisha yote no history ...history utakuwepo tu...(note)
  7. S

    Idadi ya wanafunzi waliopewa mikopo na bodi ni 3,966 tu?

    Mbna scorpion watakua wengi kama ndo ivo.make watu tumetoka JKT tumekamilika afu tufe njaa kizembe ivo....tukikosa mkopo n mtaan tu
  8. S

    TCU: Hii imekaaje..!?

    Duhhhhh nilijua n mm peek angu ndo nimeachwa japo Nina 2 yangu ya 11. Cha ajabu sasa,, mtu Mara ya kwanza kakoswa Chuo kaomba second na udzm akuijaza Mara ya pili lkn kachaguliwa apo apo .sasa tcu izo c ndo nafas za wengne jaman .
Back
Top Bottom