Recent content by sixmundmtabi

  1. sixmundmtabi

    Tanzania na Udini: Wala hatukuwa tunahitaji katiba mpya, ilikuwa ni kumsumbua tu muislam JK

    we ni falaa....poct point achan ns dini...kaandamane bac!
  2. sixmundmtabi

    Lowassa aenda Kagera kuwajulia hali waathirika wa tetemeko!

    umeishia la ngapi ww....za kuambiwa ongeza na zko! jp yko wapi????
  3. sixmundmtabi

    Lowassa aenda Kagera kuwajulia hali waathirika wa tetemeko!

    huyu jamaa anamuwaza lowassa wakati anko jp mwenywe hajtia ha pua yake huko na ndo mkuu wa nchi! we mfuko wa maafa wenyew hauna kitu wanaanza kuomba misaada kwa wananchi tenaa! we kwa akili yako hayo maeneo matatu yanaishida serikali kuyaudumiaa....mpaka now wako kimyaa tuu je ksma ingetokea...
  4. sixmundmtabi

    Tecno wanakuletea phantom 6 inakuja na ram ya 6gb na 32gb rom

    duuh...tecn balaa, mara c8, marac9, mara c7 ss tena phatom6 ....hawapumzikii!!
  5. sixmundmtabi

    Tetesi: jkt kujitolea2016

    wadau naomba kuuliza kwa anaejua kuhusu hili, ni lin vijana wa jkt wa kujitolea wanatakiwa kwenda kambini? au serikali imehairisha? maana ni kitambo ss tangu usaili kumalizika na tarh ikapangwa zen watu wakaambiwa safar imeahairshwa! sababu eti ni frm six, ss wameshamaliza kama wik mbili...
  6. sixmundmtabi

    Kwa hili tukio la leo, ITV wasiachwe hivi hivi, wachukuliwe hatua za kisheria

    Umeona ya itv tuu, vp star tv, tbc kuegemea upande mmojaa??!! Ni mara mia ua itv kuliko star tv!! Jipangeee!
  7. sixmundmtabi

    Tundu Lissu amjibu Rais Kikwete

    Mbna kila mtu anasema yakee!! Nan muucka mkuu??
  8. sixmundmtabi

    Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kutoka Katavi

    Hiv wakat unapoct hizo picha ulifikilia unaziweka wap na unawawekea wakina nan? Unadhan watu ni wajinga kiac hichoo, tv zipo, radio zipoo mitandao ipoo! Hata aibu huonii!! Jipange upyaaa!!
  9. sixmundmtabi

    Dr. Slaa adai yupo nchini, Lipumba asema haridhiki na UKAWA kuwa na mgombea Urais aliyetoka CCM

    Huyo jamaa anayeaema ni cheap politics ana akili kama za huyo anayekula mihogo ambayo ni chin ya 10,000 kwa cku alafu anatumia zaidi ya mil100 for three hrz! Alafu wanamtetea! Kwel kuna watu more zan wpmbv na malofa!!! Ccm jipangenii!!!!
  10. sixmundmtabi

    Mahakama ya Ufisadi-UKAWA wakwepa hoja hii ya Magufuli

    Hizoni ctry tuu huko ccm ndo kumejaa majiz kibao je nao atawafungaa??!!! Jipaangeee!!!!
Back
Top Bottom