Ndani ya huu mwaka nilitabasamu na kucheka Sana kutokana na yaliyonikuta. Siku moja nilipokutwa na Jambo lingine, baada ya kucheka nikajiuliza
"hivi ni kweli nipo hai, kwanini sihisi maumivu?".
Ahsante Kwa wale waliokuwepo kunitia moyo, na kuniambia yataisha na nitainuka tena.
Mkuu kuna NMB na CRDB hawajambo kukata pesa za watu na hii inajulikana, yaani hata ukiwa unapumua.
Unaogopa nini kuwataja wahusika? Hizo Bank kubwa ni Barclays na Standard Chartered?
Hiyo case si umeileta ili itatuliwe, sasa unawaficha ni wapwazo hao?
#Sitanii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.