Recent content by Sisa Og

  1. Sisa Og

    Wanawake wote wanaamini kuwa wataolewa na wanaume matajiri, halafu mimi nachekaga tu

    We ni kataa ndoa, usiwaingize cha kiume wanawake wetu
  2. Sisa Og

    Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

    Haya bwana.
  3. Sisa Og

    Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

    Sawa. Lengo kubwa ni kuongea na kusikia. Kuandika ni kwa kidogo sana. But kusikiliza ni bora kuliko vyote.
  4. Sisa Og

    Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

    Hii inawezekana
  5. Sisa Og

    Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

    Yeah nipo Dar
  6. Sisa Og

    Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

    Habari zenu wakuu? Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills. Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway...
  7. Sisa Og

    Jay Z ana Degree 33 za ufahamu , je unajua kazipataje?

    Naomba uni tag kwenye hiyo next post
  8. Sisa Og

    Moja ya dalili ya kijana kukosa maadili ya wazazi ni kuwafanya Wasanii wa muziki, drama na Filamu kuwa Role Model

    Mkuu, mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa naangalia TV sana na kusikiliza mziki Kusoma riwaya. Nilitamani kuja kuwa best musician na author na role models wangu walikuwa Master KG na Denzel Washington. Nimefanikiwa kufika malengo kwa asilimia kadhaa, sababu nimefanikiwa kuhold bachelor in music na...
  9. Sisa Og

    Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

    Yeah kiongozi. Kuna huyo manzi nilimpenda bila kumtamani. Hii inakuwa out of beauty, sexual desire. Ni ile unafeel her/his energy and presence in your life. Na nilikuta tunashare some common things kama: interest, hobbies and dreams. Japo ndo hivyo, yeye bado konakona nyingi ukizingatia...
  10. Sisa Og

    Usimuahidi mwanamke kumuoa wakati huna malengo naye

    Hilo sio kosa lako mkuu. Ni kosa lake. Kwanini akuamini kizembe hivyo. Kuamini haraka ni dhambi. Wewe hapo ni shetani yeye ni Adam na Eve. Nyote mna viti vyenu sehemu msipojifunza userious na kukimbizana na muda. Hata mimi nipo kwenye mahusiano lakini najua anytime mambo yanaweza enda mlama...
  11. Sisa Og

    Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

    Vizuri sana. Hapo changamoto ni mbili tu: Tamaa na Wanaume. Sina haja ya kueleza kila kitu kiko wazi.
Back
Top Bottom