Wengi wangali wako majumbani ndugu unazoziona ni chache tu sasa usidhani kama wanao olewa ni wengi
Tatizo nowadyz dada zetu mnanyodo sna mwingine nilitaka kumuoa miaka mitano iliyopita a akasema hana mpango wa kuolewa ni mpaka apate kazi nimeoa nishamaliza na kuza watoto wangu wawili...
Watawajibisha kila mtuu tuache siasa za maji taka kama watu hawawezi siasa waache
Tatizo nchi za afrika kiongozi ndio dalali wa mali zetu kwa weupe
Baba ake kaacha hazina 2 ccm nazo ni mwanaye na nyingine ni MB mtera kama alivyokuwa akijisifia kuile dom
Hahaha hiyo katiba mpya ina nini cha kuibadilisha tanzania? Tatizo sio sisiemu Tatizo ni watawala wanaowaza kuwa matajiri wakuhifadhi hela uswizi na kama ni vibendera vya magharibi afrka Tanzania ndio no 1 tunadhamini wageni kuliko tunavyodhamini hata wazazi na ndugu zetu
Kisa ni uloo wa hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.