Ukiacha kazi mwenyewe Nssf hawakupi mzigo wako mzee wanataka had ufukuzwe
Niliwah kuuliza nikaambiwa wafanyakazi walikua wanachungulia mzigo kule Nssf wakion mzigo mrefu wanaacha kazi wanachukua mzigo wao wanaenda kufanya mishe zao
Hali hiyo ikawa ikataka kua mazoea na ikawa inahatarisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.