Recent content by sir mweli

  1. sir mweli

    JamiiForums Tanzania RC Mrisho Gambo asema makanisa ya Kakobe yachunguzwe, isije ikawa ni wakala wa Shetani!

    Daah shida sana kuwa kibaraka wa shetani.....yaan unajua kabisa shetani ni mwovu ila inabidi umsifie tu....tena ufanye jitihada zote angalau aonekane ni malaika......cha ajabu ukweli unabaki pale pale kuwa shetani ni shetani tu........hata ntumie nguvu kiasi gani bado yeye ni shetani tu...
  2. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa upinzani kutoa zawadi kwa wagonjwa ni kosa?

    Hawaruhusiwi baba kasema
  3. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa DSM amtolea Uvivu Zakaria Kakobe

    Asa kama baba kilaza unategemea watoto watakuwaje
  4. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa DSM amtolea Uvivu Zakaria Kakobe

    Huyu msengerema nini....mmeshindwa kufata katiba sasa mnaamia kwenye Biblia.....Biblia si gazeti unajisomea somea tu.....si kila mamlaka ni ya kutii.....hata shetani ana mamlaka je naye tumtii.......aache upuuzi huyu bwana.
  5. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida apata ajali. Hali yake si Nzuri, yupo Kiomboi Hospital

    Huyu Israeli wa siku hizi nayeye kaamia digitally... ..eti skukuu na yeye anapumzika
  6. sir mweli

    JamiiForums Tanzania LINDI: DC anusurika kupotea baharini, yamchukua saa 5 safari ya dakika 90 bila kuona eneo la ardhi

    Baati yao Israel kaenda kula Christmas
  7. sir mweli

    JamiiForums Tanzania ITV kuweni makini, kutoa habari za upande mmoja kutawapotezea heshima na hadhi yenu

    Hawa washakuwa TBC....ndomana watu kibao hawaiangalii tena....bora uangalie magic bongo
  8. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Nchi imevamiwa .....wenye akili ndo wanaona na kukemea......wapumbavu wanashangilia
  9. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Natafuta operator wa crane

    Ni ajira ya moja kwa moja au
  10. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Disemba ndo hiyo inakwisha, sioni dalili ya Bombardier kutua nchini kama alivyoahidi Magufuli

    Ngoja kwanza nipo ziarani nazindua matawi ya benk....nikirudi ofisini ntashughulikia mambo ya bom badia.....fanyeni kazi wapiga dili nyie....
  11. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Je, USD 300 milioni za makinikia zimeshalipwa?

    Nani alipe.....mtaichora chini hivyo hivyo paka mzeeke
  12. sir mweli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanaume huwa mnawaza nini

    Kwanza jifunze lafudhi, Jina lako zuri alafu unaliharibu mwenyewe... Latifa ...ukiliita tu unaskia raha....sasa Ratifa ndo nn...jifunze kidogo kidogo kutumia R na L sawa dadangu...mfano hatuna neno Taraka tumia neno Talaka...yaan ukiweza hivyo hata huyo mpenzio ataachana na michepuko yake...
  13. sir mweli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke: Is an Asset? Life Partner? Homemade Love/sex machine?

    One of assets like house, car etc
  14. sir mweli

    JamiiForums Tanzania Ajira 13000 za walimu zimeishia wapi?

    Serikali imeshasema wasio na ajira wamepungua........kwaiyo hizo ajira zikitolewa nan at a apply. Au unataka itumie gharama kutangaza ajira alafu watu wasitokee.....bora hizo hela tuendelee kufanyia manunuzi ya wanaunga Mkono juhudi za mkuu...
  15. sir mweli

    JamiiForums Tanzania IGP Sirro: Malalamiko yatolewayo na viongozi wa upinzani dhidi ya Polisi katika uchaguzi mdogo si ya kweli

    Hata lisu hakupigwa risasi,, Yale ni mjipu yake tu yametumbuka...maana sijapokea barua ofisini kwangu ya malalamiko kama kapigwa risasi...
Back
Top Bottom