Recent content by sir mndolwa

  1. sir mndolwa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Je ikiwa kuna mwalimu ni mkongwe kazini anaweza kubadilishana na mtu wa ajira mpya kabla ya kufika kwenye kituo chake cha kazi?
  2. sir mndolwa

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    naombeni kupata detail ya shule ya itumba huku ileje mbeya umbali ilipo kutoka wilayani huduma muhimu kama maji na umeme na gharama ya sehemu za kufika(GH)
  3. sir mndolwa

    Ajira za ualimu 2015 ni pigo la wengi

    bora wasingesema trh 25 tu
  4. sir mndolwa

    PICHA: Zitto ana nini mpaka umati kama huu unaenda kumsikiliza?

    wanataka kuijiua ACT ila jamaa pia yuko vizuri
  5. sir mndolwa

    Kwa wataalam wa AFYA!

    inawezekana isipokuwa MUHAS TU
  6. sir mndolwa

    Kozi gan ya masters nikasome ili nihamie wizara ya afya

    nimekuelewa chuo gani kizuri kwa bongo hapa wanaitoa hiyo public health
  7. sir mndolwa

    Kozi gan ya masters nikasome ili nihamie wizara ya afya

    Nina degree ya Bsc with Education (chem & bios) sasa nataka kusoma masters yoyote ya afya ili nihamie wizara ya afya.Naombeni msaada kozi gani nikasome na chuo gani kwa bongo kwanza hapa
  8. sir mndolwa

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    umejitahid kutia presure watu giraf
  9. sir mndolwa

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    Mwenye tetesi zozote kuhusu ajira za walimu atuambie maana vijana wanatusumbua sana mtaani huku
Back
Top Bottom