Recent content by Sir luta

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Zinasaidia sana. Kwanini ufungue jukwaa linaloibua Madudu serikali kama siyo kulinda wezi
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Lengo lao ni kulinda wezi wa mali za Tanzania
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kama haumpendi unaingia kwenye maisha yake kufanya nini?

    Mwulize mama yako kwanini alikubali kuingiziwa rungu baada ya ndoa? Ndiyo maana ndoa yake imedumu. Sasa ukionjwa kila mahali huwezi kuridhika na mmoja
  4. S

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka husika zichukue hatua za haraka kuhusu usafirishaji abiria halmashauri ya Wilaya ya Rombo

    kinacholalamikiwa kwenye Noah; 1. Kujaza kupita idadi inayotakiwa 2. Uchakavu wa hizo Noah - angalia hasa seat za abiria. Trafic anakagua bodi na tairi basi! 3. Overspending wakati ni chakavu 4. Kutoza nauli zaidi ya inayokubalika 5. Lugha chafu za madereva 6. Uchache wa hizo Noah Solution...
  5. S

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka husika zichukue hatua za haraka kuhusu usafirishaji abiria halmashauri ya Wilaya ya Rombo

    Habari wana bodi, Tanzania nzima hakuna wananchi wanapata shida ya usafiri kama wananchi wa Rombo! Kuna ukiritimba gani uliopo kwenye vyombo vya usafiri Rombo? Kwanini wananchi wanateseka hivi na usafiri? Vijana wengine wameamua kutumia pikipiki zao kusafiri kutoka Moshi mjini hadi Rombo...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu atutajie miradi iliyotekelezwa kwa trilioni 50 zilizokopwa ndani ya miaka minne!

    Mbona makasiriko? Kwani hiyo mikopo ni siri? Kuna ubaya gani hiyo miradi ikawekwa wazi kwa watanzania? Ku declare siyo uongo aweke wazi hiyo miradi maana haifanyiki mbinguni
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu atutajie miradi iliyotekelezwa kwa trilioni 50 zilizokopwa ndani ya miaka minne!

    "Tanzania haikopi fedha kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Hatujawahi kukopa fedha ili tulipe mishahara, hatujawahi kukopa ili tuendeshee magari, tulipe posho. Fedha inapotoka inakwenda kwenye mradi mahsusi." - Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha Naomba waziri Mwigulu aainishe miradi ya kodi...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Serikali iwe wazi deni la Taifa, waziri atoe orodha ya waliotukopesha na kiasi walichotukopesha na muda wa kulipa

    Watanzania wachache wanafuatilia kuhusu deni la Taifa na wamebaki na maswali mengi hasa deni hilo kupaa kutoka trilioni 50 hadi trilioni 107 kwa kipindi kifupi. Ni vizuri serikali kupitia waziri wa fedha Dkt. Mwigulu akatoa orodha inayoonyesha taasisi zilizotukopesha, kiasi cha mkopo kwa kila...
  9. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tarimba: Yeyote yule akionesha ishara za kutaka kuipasua CCM, tutampasua yeye kwanza

    Endelea kuongea tunajua unalinda SPORTS PESA uendelee kumaliza vijana kwa kamaei
  10. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Adolf Mkenda must go! Kwa ajili ya HSLB!

    Waziri Mkenda ameshindwa kusimamia kwenye wizara yake bodi ya mikopo HSLB imekuwa bodi ya wizi wa mishahara ya watumishi tu na wanaoibiwa siyo watoto wa vigogo ni watoto wa wakulima! Inakuwaje mtumishi anakuta makato ya bodi ya mikopo kwenye mshahara wake wakati mtumishi huyo hajawahi kusoma...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi Manyara linawashikilia watu 10 wakiwemo Watumishi 9 wa LBL Manyara

    Sasa kwanini serikali isifanye namna ika rescue pesa za watanzania otherwise tuamini BOT na LBL wameshirikiana kuibia watanzania
  12. S

    JamiiForums Tanzania Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

    Wewe siyo ulisoma tu kwa yale magari ya njano itakuwa ulisoma Angani
Back
Top Bottom