Recent content by Sir kijangwa

  1. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania UDOM ni chuo chenye kozi nyingi za ajabu ajabu na kimetumika kuwaharibia vijana wengi future zao, sasa wameanza kujishtukia!

    Mabadiliko hayo ya kozi yamefinyika ili kuendana na mabadiliko ya sera ya elimu ya 2014 yenye marekebisho yake mwaka 2023 ambayo yamepelekea kuwepo kwa mtaala mpya katika shule za MSINGI na sekondari.zaidi ya yote swala la kukidhi matakwa ya soko la ajira husukuma taasisi za elimu ya juu kufanya...
  2. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi UDOM wanaobaki wakati wa likizo wanalazimishwa kulipia tena hostel?

    Nenda ujasi ukapange chumba kama unaona unaonewa
  3. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Bila walimu hatuwezi kufanikiwa

    Competence based education, juhudi ziimeonekana katika kutekeleza sera hii kwa kwa vitendo kwa ujenzi mkubwa mpya wa madarasa kwa hakika Mimi pia ni shahidi mwaka wa fedha 2021/2022 madarasa mengi yamejengwa naamini uandikishaji utaongezeka kwa asilimia kubwa kwa darasa la kwanza na hata wale...
  4. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

    Huyo mropakaji anasema hapa udom rahisi amtume hata mdogo wake aje apige shule apa nadhani atamhadithia vema.kama ni lelemama hata semester 2 hatoboi.vijana kila siku wanarudi nyumbani UDOM Isikie tu sio Kama unavyodhani
  5. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu utaratibu wa kufanya maombi mapya ya chuo

    Shida sio kupangwa COED jamaa aseme ukweli msuli wa hapa sio wa kitoto yani Kama huna uvumilivu unarud siku hiyohiyo wanabana mnooo
  6. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania The University of DODOMA-UDOM

    Mkuú hii kozi inahusiana na nn
  7. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Niende wapi

    Umeongea Sana mkuu
  8. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Niende wapi

    Ahaa sawa mkuu nipo tanga hvo wap patanifaa zaidi? Ukizngatia npo job sekta elimu
  9. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Niende wapi

    Wadau nimechaguliwa UDOM EDUCATION (BED PPM) na IAA PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT nimeajiliwa, sekta elimu, ushauri Niende kozi ipi?
  10. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Msaada, nawezaje kuwapata UDOM? nateseka sana

    Nimechutumia mawasiliano pm
  11. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania BA of Education in policy planing and management

    Duuu hii nzuri Sana nimefurahi kama vile nishaitwa
  12. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania BA of Education in policy planing and management

    Ahsante kiongozi kozi hii ipoje
  13. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania BA of Education in policy planing and management

    Msaada please
  14. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania BA of Education in policy planing and management

    Wakuu msaada tafadhali mimi tayari ni mtumishi wauma naenda kujiendeleza kwa ngazi ya shahada .nimechaguliwa idol meals guy kwa kozi tajwa halo Juu. Je, kozi hii inaweza kunisaidia kutoka kituo cha kazi kwenda halmashauri au wizarani? Ubora wa kozi hii inayotolewa udom tu ni upi? Ushauri tafadhali
  15. Sir kijangwa

    JamiiForums Tanzania Mzumbe University - All you need to know

    Upande Wa shahada
Back
Top Bottom