Sikiliza dada mambo mengine piga moyo konde endelea mbele kama kakuumiza kabla hajakuoa. Je ungemkomalia akuoe mfunge na ndoa si utateseka daima wewe chukua sadaka kamshukukuru Mungu kwa kukuepusha na tapeli utapata wa kwako, songambele.
Mzee wewe ndio mbwa peke yako wengine tuna akili zetu, huwezi ku generalize wanaume wote kwenye mambo ya hovyo, wewe mpe dada ushauri wa maana afanyeje sio comment za ovyo
watu wengine muwege na akili timamu mnajitia mnahuruma na upande msio upenda, mbona Tshishmbi alikuwa team capten wenu baada ya kujeruhika goti mkamuacha akarud congo huku mkimdhihaki kuwa goti lake limeoza, acha unafiki wewe ndio maana Manara amewaambia msiende kutupigia kelele kule mbaki...
Brother mbona maelezo marefu sana wew ni upande wa pili au, mana kuna wenzako wakisikia jina okwi wanapatwa na homa ya kuendesha, mim najua gap lililokuepo ni la kiungo mkabaji na kushambulia apo apo achukue mikoba ya Gerson Fragha so kumtaja okwi nilikuwa nasababu zangu kuna viumbe nawatafuta...
Visababu vingine Bwana, kama vya kitotototo flani hivi ila MUNGU ajuaye mioyo yetu ajua na kuzichunguza nia zetu, Tena siku mtu akifa matendo yake yatafuatana naye. Haya ndio wanayolipwa wananchi waliokesha kujipatia vitambulisho vya kupigia kura, wakashinda njaa kwenye foleni kumchagua leo hii...
Siku zote uongo hupendwa zaidi kuliko ukweli but hata kama ukweli huo utapita sehemu nyembamba mithili ya uzi wa kushonea nguo huchanua na kustawi mara dufu, Tena kwa wale waaminio hata njia ya kuendea uzimani ni nyembamba sana kuliko ile iyendayo hukumuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.