Mi mimeangalia nikaona haziendani na wakati tuliopo.nilitegemea kuona mifumo mipya ya kiusalama,silaha mpya za kisasa,nk lakini nikaona makomambo wanajirusha,Mara kareti,Mara kupigana na watu kumi,Mara watu Saba,,,,,,Sasa hao watu utakutana nao wapi ukipigana na urusi au Israel.
Na imani next...