Funika kombe mwanaharamu apite hao walipataje deal bila ya wahusika Wakuu Wa serikali? Miungu mtu isitajwe ila vidagaa chambo kwa ushauri ni vizury waachane na yaliyopita tu gange yajayo ila kwa sharti la kuikubali katiba ya mzee Warioba dismissed case
Sent from my SM-G800F using JamiiForums...
Kiukweli umesema haswa yaliopo na yanayoendelea ktk hiyo inch ya wagigikoko onauma sana ila tukiwa kwenye sala zetu naomba tumuombee mh lissu na wenzake wote wanaoitetea nchi yetu Tz Mungu awalinde na maadui lkn kuna kazi c mchezo
Mtasubir sana akatae, kisha hiyo ni kumdhibiti Zitto alishaonekana anashirikiana na Ukawa ngoja tuone movie ikiendelea tuko break ss mbona mengi yatakuwaja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.